Olimpiki ya Mjini Tokyo Kufanyika Mwakani.


Michezo ya Olimpiki ya mjini Tokyo inaweza kufanyika tu mwaka ujao iwapo hali ya virusi vya corona itakuwa nzuri hadi wakati huo, kulingana na kamati ya matayarisho.

Olimpiki ya mjini Tokyo inaweza kufanyika tu mwaka ujao iwapo hali ya virusi vya corona itakuwa nzuri hadi wakati huo, mkuu wa kamati ya matayarisho Yoshiro Mori alikiambia kituo cha utangazaji cha NHK Jumatano.

Mori amesema haiwezekani kuendesha michezo hiyo iwapo hali itaendelea kuwa kama ilivyo, na kuongeza hafikiri iwapo hali hii itaendelea kwa mwaka mwingine.

 

 Olimpiki ya Mjini Tokyo Kufanyika Mwakani.

Michezo hiyo ambayo ilikuwa kimsingi ifunguliwe siku ya Ijumaa , iliahirishwa mwezi Machi kwa miezi 12 kutokana na janga la virusi vya corona.

Tokyo hivi karibuni umeshuhudia idadi ya maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 ikiongezeka tena.

Mori amesema kuwa upatikanaji wa chanjo ndio itakuwa ufunguo wa kufanyika michezo hiyo mwaka 2021, na iwapo michezo hiyo itafanyika ama la itategemea iwapo binadamu wataweza kulishinda janga hilo.


Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.

Soma Zaidi

47 Komentara

    Kwa kweli hili janga la corona linarudisha mambo mazurii nyuma ila hatuna jinsi tukubaliane na matokeo

    Jibu

    Ni sawa tuu maana Kinga ni Bora kuliko tiba!

    Jibu

    Corona inarudisha nyuma michezo sana hadi mwakani ila tutasubiri tu kiafya zaidi inatakiwa

    Jibu

    Hii corona hii Dah acha tusubiri tu

    Jibu

    Hii ni habari njema kwa wanamichezo maana watapata fursa ya kufanya yao kwenye nyanja ya michezo

    Jibu

    Janga hili la corona limeyumbisha uchumi wa kila nchi kufanya Mambo mengi yamesimama

    Jibu

    Ili janga ni hatar

    Jibu

    Nivizuri tuu Kujikinga kabla ya tari

    Jibu

    Hii ugonjwa umeharibu kila mipango ilokuwa imepangwa

    Jibu

    corona hii ni endelevu haiishi leo wala kesho .mtaahirisha adi mkome

    Jibu

    Sio mbaya

    Jibu

    Corona imevuruga mipango mingi sana

    Jibu

    Michezo ya Olympic tumeimis sana Corona bora itulie ili iweze kufanyika mwakani

    Jibu

    Sio mbaya kikubwa afya ni kitu cha muhimu

    Jibu

    Corona imealibu mambo

    Jibu

    Duuh harati sana#meridianbettz

    Jibu

    Habar nzuri kwa wanamichezo

    Jibu

    Ni jambo zuri Sana maana wapenzi wa michezo hii tulijua itachukua mda Sana juu ya janga hill la corona.

    Jibu

    Corona Sio poa kabisa

    Jibu

    Duuh corona ni atari iliharibu mipango

    Jibu

    Utafiti wa NHK juu ya mashindano ya Olimpiki ya Tokyo yaliyoahirishwa kwa mwaka mmoja umebaini kwamba mashirikisho ya michezo yanatarajia waandaaji kuamua angalau miezi sita kabla ya tarehe ya ufunguzi iwapo mashindano hayo yatafanyika.
    Leo Alhamisi unatimia mwaka mmoja hadi kufikia ufunguzi wa mashindano hayo mwakani, ambayo yamecheleweshwa kwa sababu ya janga la virusi vya korona.
    NHK ilipeleka madodoso ya utafiti kwa kamati za Olimpiki kote duniani na mashirikisho ya michezo ya kimataifa mnamo Juni na Julai.
    Kati ya kamati 206 za Olimpiki, 19 zilijibu madodoso hayo. Kati ya mashirikisho 33 ya kimataifa ya michezo, 3 yalijibu.
    Walipoulizwa uamuzi wa mashindano hayo kufanyika unapaswa kufikiwa lini, makundi 16 kati ya 22 yaliyojibu yalisema uamuzi unapaswa kufikiwa angalau miezi sita kabla ya tarehe ya ufunguzi.
    NHK iliuliza ikiwa mashindano hayo hayawezi kufanyika msimu ujao wa joto, yafutwe au yaahirishwe tena.
    Kamati tano za maandalizi ikiwa ni pamoja na Uganda, zilisema uahirishaji mwingine ni bora zaidi kwa wanamichezo, ambao wana fursa ya mara moja tu maishani.
    Kamati 15 zilijibu kwamba mashindano hayo yanapaswa kufutwa zikisema zinahitaji kujiandaa kwa mashindano ya msimu wa baridi ya Beijing 2022 ambayo yataanza miezi saba baadaye.
    Hivyo n habar njema sana 👍

    Jibu

    Corona hatari

    Jibu

    Habari mzuri kwa mashabiki wa michezo tuliimic

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Mungu atajalia heri itafanyika tu

    Jibu

    Nihabari njema kwa mashabiki

    Jibu

    Corona sio poa kabisa

    Jibu

    hii yote imesababishwa na corona ata ivy mwakani sio mbali

    Jibu

    Corona ttz

    Jibu

    Maamuzi mazuri ili wapate kujipanga vzuri#meridianbett

    Jibu

    Colona noma

    Jibu

    Corona no balaaa

    Jibu

    Olympics ni michezo yenye historia ndefu sana duniani. Inasemakana awali Wagriki ambao ni waanzilishi walishiriki wakiwa uchi wa mnyama#meridianbettz

    Jibu

    Utafiti wa NHK juu ya mashindano ya Olimpiki ya Tokyo yaliyoahirishwa kwa mwaka mmoja umebaini kwamba mashirikisho ya michezo yanatarajia waandaaji kuamua angalau miezi sita kabla ya tarehe ya ufunguzi iwapo mashindano hayo yatafanyika.
    Leo Alhamisi unatimia mwaka mmoja hadi kufikia ufunguzi wa mashindano hayo mwakani, ambayo yamecheleweshwa kwa sababu ya janga la virusi vya korona.
    NHK ilipeleka madodoso ya utafiti kwa kamati za Olimpiki kote duniani na mashirikisho ya michezo ya kimataifa mnamo Juni na Julai.
    Kati ya kamati 206 za Olimpiki, 19 zilijibu madodoso hayo. Kati ya mashirikisho 33 ya kimataifa ya michezo, 3 yalijibu.
    Walipoulizwa uamuzi wa mashindano hayo kufanyika unapaswa kufikiwa lini, makundi 16 kati ya 22 yaliyojibu yalisema uamuzi unapaswa kufikiwa angalau miezi sita kabla ya tarehe ya ufunguzi.
    NHK iliuliza ikiwa mashindano hayo hayawezi kufanyika msimu ujao wa joto, yafutwe au yaahirishwe tena.
    Kamati tano za maandalizi ikiwa ni pamoja na Uganda, zilisema uahirishaji mwingine ni bora zaidi kwa wanamichezo, ambao wana fursa ya mara moja tu maishani.
    Kamati 15 zilijibu kwamba mashindano hayo yanapaswa kufutwa zikisema zinahitaji kujiandaa kwa mashindano ya msimu wa baridi ya Beijing 2022 ambayo yataanza miezi saba baadaye.
    Hivyo n habar njema sana 👍

    Jibu

    Du corona ni ugonjwa hatali unaludisha nyuma maendeleo

    Jibu

    mungu atasaidia mambo yatakuwa poa tu

    Jibu

    Duuuh sawa tuu tunasubiri mwakani

    Jibu

    Corona janga limeleta balaa sana

    Jibu

    Yote kher kinga bora kuliko tiba

    Jibu

    Mashabk tunasubr kwa hamu

    Jibu

    Corona siyo poa kabisa

    Jibu

    Ni habari nzuri kwa wanamichezo ambao walichagukiwa kushiliki

    Jibu

    Tuliisubiri mwaka huu lakin corona imeharibu ila mwakani siyo. Mbali

    Jibu

    Wawooooo !!!Afadhali Mwakani Mambo Yawe Moto#Meridianbettz

    Jibu

    Corona imeharibu kila kitu

    Jibu

    Habar njem

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

Acha ujumbe