Staa wa Arsenal, Mesut Ozil, amejitolea kugharimia mshahara wa Jerry Quy ambaye amekuwa maskoti aitwaye Gunnersaurus kwa kipindi kirefu uwanjani Emirates.
Mnamo Oktoba 5, 2020, Arsenal walifichua kwamba Quy, ambaye amekuwa akiwapa mashabiki na wachezaji burudani ya kipekee uwanjani kwa miaka 27 iliyopita, alikuwa sehemu ya vibarua 55 ambao watafutwa kazi baada ya hazina ya fedha ya Arsenal kutetereka na janga la corona.
“Nilihuzunika sana kusikia kwamba Jerry Quy ambaye amekuwa maskoti wetu maarufu atafutwa kazi. Amekuwa sehemu muhimu ya historia ya The Gunners,” akasema Ozil, 31.
“Kutokana na hilo, nitajitahidi kurejeshea Arsenal mshahara ambao wamekuwa wakimlipa Quy ili aendeleee kuwa sehemu ya burudani kwenye uwanjani na kwenye runinga zetu kwa sababu anaipenda sana kazi yake,” akaongeza Ozil mzawa wa Uturuki na raia wa Ujerumani.
Arsenal wanaendelea na mchakato wa kufuta kazi baadhi ya vibarua 55 ili kupunguza gharama ya matumizi.
Wachezaji wa kikosi cha kwanza na kocha Mikel Arteta waliafikiana na usimamizi kuhusu haja ya kupunguzwa kwa mshahara wao kwa hadi asilimia 12.5 kuanzia Aprili hadi Disemba 2020.
Viongozi wakuu wa Arsenal pia walikubali kupunguziwa malipo yao kwa zaidi ya theluthi moja kwa kipindi cha miezi 12 ijayo.
Licha ya mipango hiyo yote, Arsenal wamesisitiza kwamba wanakabiliwa na hali ngumu zaidi ya kiuchumi ambayo huenda ikadumu kwa kipindi kirefu.
Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!
magdalena
ozil ameonesha moyo wa kishujaa sana kwa jambo alilolifanya
Zeiyana
Siku zote ozil hamekua mtu mwenye huruma sana mungu amjaalie haendelee kua na himani hiyo hiyo
Adelta
Ozil Ana moyo wa pekee hongera yake
Mwanahamisi
Ozil ameonyesha moyo
farida ahmadi
Ozil ameonesha moyo mzuri Sana ni mfano wa kuigwa kwake
Amiri Kayera
Ozil amefany jamb zur la kuigwa
Elika
Ozil shujaa namba moja
Salma ngende
Ni mfano Wa kuingwa
latifa juma mohamed
Ozil ameonyesha moyo wa kishujaa na waajabu anastahil kuigwa na mfano kwa wengine.
Dorophina
Ozil ameonyesha moyo wa kipekee sana
Fatina mfigi
Safi san ozil ww Ni mfano wa kuingwa
Samiah
Ozil ww ni fundi
Faraja molell
Ozil ameonyesha moyo
Fatuma kasomo
Ozil yupo vizuri sana
Angelina
Ozil anamoyo mzuri
Hidaya
Ozil ameonyesha moyo wa ubinadamu
Sauda
Ozil ana moyo wa kipekee.
Shani
Ni safi sana ozil kubaki Emirates
Saupha mohamed
Ozil amefanya jambo la busara sana
Caroline
Ozil ana moyo wa dhahabu
Mwajumah
Ozil amefanya jambo zuri la kuigwa
Samira
Ozil ameonyesha moyo wa kishujaa
Neema
Ozil anamoyo wa huruma sana
Hopemwaikuka
Ozil ur the best
Nasra
Ozil kiboko
aisha
Ozil ni nomaa sana
Amani Maeda
Excellent Ozil
Well done Brother.
Issa
Ozil ni safi kuonyesha moyo mzur kwa huyu mtu
Povel
Ozil amedhibitisha kaul ya kutoa ni moto wala si utajir
Sabrina
Ozil ni mtu wa kujitolea
David Pere
Siku zote ozil hamekua mtu mwenye huruma sana mungu amjaalie haendelee kua na himani hiyo hiyo
felister
Ozil amefanya jambo zuri la kuigwa
Khadija
Ameonyesha moyo wa kipekee sana
Rehema
Ozil ni fundi
Tatu
Ozil mtu mwenye pesa zake
Theckla
Ni moyo wa pekee alionyesha ozil hakiki ni swala la kuigwa
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana alicho kifanya Ozil kugharamia mungu amzidishie kwalicho kifanya
Gabriel
ozil hamekua mtu mwenye huruma sana mungu amjaalie haendelee kua na himani hiyo
Janeflora malisa
🔥
Mwanahamisi
Ozil jembe
Ernest
Ozil kaamua kulipa fadhila
Tahiya
Ni mfano wa kuingwa
Latifa juma mohamed
Ozil amefany Jambo zuri anafaa kuigwa.