Aaron Ramsey amerejea katika timu ya taifa ya Wales kwaajili ya mechi tatu zijazo zitakazosimamiwa na kocha msaidizi wa kikosi hicho, Robert Page.
Page atasimamia michuano hiyo baada ya kocha mkuu Ryan Giggs kukabiliwa na shutuma za kumjeruhi mchumba wake.
Ramsey amejumuishwa katika kikosi hicho cha Wales licha ya kupata jeraha la misuli kwenye mechi ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) iliyowakutanisha Juventus na Ferencvaros.

Aramsey Anaungana na Bale na Nyota wengine katika Kikosi hicho cha Wales wakiwemo makipa wapya baada ya Wayne Hennessey (Crystal Palace) na Adam Davies (Stoke City) kupata majeraha.
KIKOSI CHA WALES:
Ward, Fon Williams, King, Gunter, Davies, Roberts, Ampadu, Mepham, Lockyer, Rodon, N Williams, Lawrence, Cabango, Norrington-Davies, Ramsey, J Williams, Wilson, Brooks, James, Smith, Morrell, Levitt, Johnson, Sheehan, Bale, Lawrence, Moore, Ratondo, Roberts.
Hii ni halisi kwa ajili ya mashujaa wote! Ukiwa jasiri unavuna mkwanja kibao hapa na sloti hii ya Huangdi Casino. Waka nusu tukupe maradufu!




Adelta
Ramsey Yuko vizuri na anajiamini akiwa uwanjani
Mwajumah
Namkubali sana Ramsey amefanya jambo la maana sana page kumludisha kwan anamchango mkubwa sana pale wales
Sauda
Ramsey anajituma sana
Elika
Ramsey Yuko vizur
Fatina mfigi
Safi San Ramsey yuko vizur!
Dorophina
Ramsey anajua nini anafanya yupo vizuri sana
Ester jackson
Kwa makosa aliyo kuwa nayo yalimchafua sana kiasi cha kupoteza mashabiki sasa ndio muda wake kurudisha imani kwao
Angelina
Goodnews
Tatu
Kikosi cha wales kina wachezaji wazuri
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana namkubali Sana Ramsey
Caroline
Ramsey anajua sanaa
Shani
Ramsey ni mahiri anajua kazi yake
Fatuma kasomo
Gud
Nasra
Ramsey ni mchezaji alie Makin sema majeruh ndio yanamsumbua
Issa
Majeruh yanamfanya ramsey awe nje ya uwanja lakin page ni saf kwa kumuamin huyu mtu
Hopemwaikuka
Goo Ramsey
Khadija
Habari njema sana
Povel
Habar njema kwa mashabiki wa wales
Saupha mohamed
Ramsey yupo vizur
Sabrina
Ramsey anajua yuko vizuri
warda
Ramsey yuko poa sana