Makala nyingine

Winga wa liverpool Shey Ojo yuko mbioni kusepa Liverpool na Kujiunga na klabu ya ufaransa ya Stade Reims kwa kipindi kilichobakia katika msimu. Winga huyu mwenye umri wa miaka 21, …

Mchezaji wa Tottenham Danny Rose anapambana kuendelea kuwepo Spurs kutokana na mafanikio ya timu hiyo. Danny alikuwa anatarajiwa kujiunga kwa mkopo Paris Saint-Germain au Marseille. Danny sasa anakataa dili la …

Bingwa wa kike wa Tenisi kutoka Uingereza, Johanna Konta ametolewa katika michuano ya Us Open baada ya kuchapwa kwa seti ya  6-2 6-2 na Caroline Garcia. Michuano hii ambayo huwahusisha mabingwa …

Staa wa Ajax Frenkie de Jong  anasema hana mpango tena wa kwenda Barcelona katika msimu huu. Jong ambaye alifikiria kuwa huenda angejiunga na Barca, amekacha mtazamo wake na kusisitiza kuwa hawezi kuondoka …

Golikipa wa klabu ya soka ya Liverpool, Simon Mignolet anasema kwamba anashangazwa sana na suala la klabu hiyo ya Anfield kumpa ruhusa golikipa Loris Karius kujiunga na klabu ya soka …

Man utd anamkaribisha Tottenham wa Pochettino pale Old Trafford, wote wamecheza mechi mbili mpaka sasa. Wakati Spurs akianza vizuri kwa kushinda mechi zake zote dhidi ya Newcastle United na Fulham, …

Aliyekuwa kiungo wa Real Madrid Rafael Van Der Vaart anasema Ronaldo angejifunza kutoka kwa Messi na kubakia Real Madrid. Ronaldo ambaye aliondoka Real na kujiunga na Juventus alikuwa mchezaji muhimu sana …

Bingwa wa mchezo wa gofu, Tiger Woods amegusia kuhusu uhusiano wake na raisi wa Marekani bwana Donarld Trump wakati akifanyiwa mahojiano huko New Jersey. Woods alizungumzia ukaribu wake na Trump …

Straika wa Juventus Mario Mandzukic amechomoa ofa ya kuhama Juventus na kujiunga na mashetani wekundu. Mwanzo ililipotiwa kuwa Mourinho alikuwa anamfukuzia straika huyo kwa mbinde. Mario Mandzukic ambaye ana umri wa miaka …

Winga wa Everton, Ademola Lookman anaripotiwa kuwa ameshaandaliwa kuondoka Everton kujiunga na RP Leipzig. Taarifa hizi zimeripotiwa na chanzo cha habari cha The Mirror kuwa tayari mchezaji huyu yuko mbioni …

Arsenal Atachomoka Leo?

Arsernal wa Unai Emery leo anamkaribisha West Ham United pale Emirates Stadium. Washika mtutu na washika nyundo wote wana njaa ya kupata pointi leo baada ya kuanza vibaya. Je nani …

Winga wa Everton Yannick Bolasie amejiunga Aston Villa kwa mkopo msimu mzima. Bolasie amekuwa mchezaji wa 4 kwa Aston Villa kusajiliwa kwa mkopo baada ya kuwasajili wengine wa 3 ambao …

Gemu imeisha kwa sare ya 1-1. Wolves amekutana na Man City leo akiwa na mzimu wa kichapo 2-0 kutoka kwa Leicester huku akitoa sare na Everton akikutana na mbabe aliyewachapa …

Ripoti zinadai kuwa Real Betis wametoa ofa rasmi kwa Manchester city kumchukua Oleksandr Zinchenko kwa mkopo huku wakifikiria kumchukua moja kwa moja. Chanzo cha habari cha kihispania Mundo Deportivo kinaripoti kuwa …

Paolo Guerrero kwa sasa hataweza kuichezea timu yake mpya ya International kutoka Brazili kutokana na hukumu aliyopewa inayoimzuia kucheza soka kutokana na matumizi ya dawa za kulevya. Awali mkali huyu …

Mwanzoni kulikuwa na ripoti kuwa binamu wa mmiliki wa Manchester City Sheik Mansour  alikuwa anahitaji kuinunua klabu ya Liverpool na kubainisha kuwa alikuwa kwenye mazungumzo ili aweze kuinunua timu hiyo. …

Eden Hazard aliripotiwa huenda ataenda Real Madrid na kuiacha chelsea . Ripoti zinadai kuwa Hazard kwa sasa huenda akakataa ofa ya kwenda Real Madridi kabla ya dirisha kufungwa. Dennis Wise …

Ac Millan wanadaiwa kuwa wapo katika mazungumzo ya kumnasa kijana machachari bwana Adrien Rabiot kutoka PSG. Millan wanamuhijaji Adrien Rabiot katika Seria A  kati ya mwezi january au msimu ujao wa kiangazi …

Rekodi ya Alan Shearer ya jumla ya magoli 206 inaweza kuvunjwa na vijana maridadi wanoendelea kuonekana katika orodha ya wafungaji wenye magoli mengi kwenye Primier League. Ifahamu hapa orodha ya …

On each category you can set a Category template style, a Top post style (grids) and a module type for article listing. Also each top post style (grids) have 5 different look style. You can mix them to create a beautiful and unique category page.

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.