Makala nyingine

Aliyewahi kuwa mchezaji wa Arsenal Alan Smith amesema kwa sasa Arsenal hawahitaji kushinda ubingwa, inahitaji tu mabadiliko chanya. Alan Smith amesema hayo kufuatia washika mtutu hao kuanza vibaya msimu wakiwa …

Mchezaji beki wa Leicester City, Harry Maguire yupo karibuni kutia wino kwenye mkataba mpya klabuni kwake baada ya dirisha la usajili kufungwa mwezi huu wakati iliposemekeana kuwa alikuwa mbioni kuondoka …

Manchester City wamemrudisha Aro Muric mwenye miaka 19, aliyekuwa  NAC Breda kwa mkopo kutokana na jeraha la Bravo ambaye anahofiwa kuwa jeraha lake litaendelea kuwa kikwazo. Bravo ambaye alipata jeraha …

Aliyekuwa mkuu wa chama cha mpira wa miguu nchini Brazil 2012-2015 bwana Jose Maria Marin amehukumiwa jela miaka 4 baada ya kupatikana na hatia ya rushwa. Mkuu huyu mwenye umri wa …

Kapteni wa Manchester City  Vincent Kompany  hafikirii kuiacha ligi ya Primier kwa sasa, anasisitiza hata katika umri wa miaka 32 bado anakuwa na uwezo wa kucheza kwa kiwango kikubwa. Kwa sasa …

Real Madrid wameripotiwa kuwa wapo katika mchakato wa kufikiria uwezekano wa kufanya malipo ya euro milioni 35 kwa ajili ya kumrududisha James Rodriguez ambaye yupo kwa mkopo Bayern Munich. Mabingwa …

Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wameitawala tuzo hii kwa mda sasa. Mda unaenda haraka na kukaribia kupatikana mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or. Kaka, staa ambaye amewahi kuwa Real madrid …

Mwanariadha machachari Usain Bolt kwa sasa  anafurahia kuanza kazi yake katika soka. Mwanariadha huyu ambae kwa mujibu wa Jarida la Forbes Juni 2017 ana utajiri unaokadiriwa kuwa na thamani ya dola …

Mcheza golf maarufu bwana Tiger Woods amesema anajisikia vyema sana kwa mapokezi aliyoyapata akiwa anarejea mchezoni, Woods anaamini ujio wake mpya umempa mashabiki wengine wapya wengi zaidi kuliko aliokuwa nao …

Aston Villa leo saa 09:45 anakuwa mwenyeji kumkaribisha Brentford, wakali hawa wanakutana wakiwa na rekodi zinazofanana za hivi karibuni. Wote wanarekodi ya kutofungwa kwa mechi tatu walizocheza hivi karibuni na …

Serena williams anachukua nafasi ya kwanza kwa wanaspoti wa kike wenye utajiri zaidi. Serena Williams ambaye ni bingwa mara 23 wa Grand Slam anaripotiwa  kuwa wa kwanza kwa mastaa wa …

Cristiano Ronaldo alikuwa anafikiria ruhusa kutoka kwa Juan Cuadrado kabla ya kuchukua jezi namba 7 pale juventus. Jezi hii ni jezi ninayoipenda zaidi, anasema Ronaldo ambaye alihamia timu hiyo mwezi uliopita …

Wakati Besiktas wakiwa wanamuhitaji golia Loris Karius, boss wa Liverpool yuko tayari kumuacha golia huyo aondoke katika timu hiyo. Wakali hawa Besiktas kutoka uturuki wako katika mazungumzo ya kumnasa golia …

Kulikuwa na tetesi za chini chini kuwa huenda Zinedine Zidane akawa anaongoza katika orodha ambayo makamu mwenyekiti bwana Ed Woodward anaifikiria kumbadili Mourinho. ripoti hizi zinahusisha kufanya vibaya katika mechi …

Paris Saint-German wanamtamani mchezaji wa Barcelona bwana Ivan Rakitic lakini Barcelona kwa sasa hawataki kufanya mazungumzo juu ya kumuuza mchezaji huyo ambaye PSG wameonyesha kumuhitaji wakati thamani yake kwa sasa …

Klabu ya soka ya Chelsea wanamsaka mtu wa kuchukua nafasi ya Mkurugenzi wa Uchezaji, Michael Emenalo klabuni hapo kwa mujibu wa Telegraph. Nani wanawaniwa? Imesemekana kuwa wakurugenzi wa kiufundi wa …

On each category you can set a Category template style, a Top post style (grids) and a module type for article listing. Also each top post style (grids) have 5 different look style. You can mix them to create a beautiful and unique category page.

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.