Klabu ya soka ya Paris St-Germain waligomea kabisa ofa ya klabu ya Manchester United kwa ajili ya mshambuliaji wao Kylian Mbappe ambaye ni raia wa Ufaransa kwa mujibu wa Mirror. …
Makala nyingine
Chelsea wamekamilisha kila kitu kumnasa nyanda wa Athletic Bilbao, Kepa Arrizabalaga kwa ada ya £71m. Hii imevunja rekodi ya dunia kwa usajili wa makipa. Hawa hapa ni magolikipa 5 ghali …
Mchezaji winga wa klabu ya Manchester United, Alexis Sanchez ameitaka klabu yake hiyo kufanya sajili za wachezaji wakubwa na wenye uzoefu wa soka pekee. Winga huyu ametoa msisitizo kuwa Manchester …
Hapo jana Sergio Aguero aliweza kupachika magoli mawili ambayo yalikuwa ni ya 200 na 201 kwake ndani ya kikosi cha klabu ya soka ya Manchester City na ikawa ni msaada …
Luke Shaw ambaye ni mchezaji wa safu ya ulinzi akiwa na umri wa miaka 23 kwa sasa anafurahia sana kuuona mwaka wake wa mwisho wa mkataba wake klabuni Manchester United. …
Hawa ni wachezaji wapya ambao wamesajiliwa na klabu bingwa ya Manchester City msimu huu wakati wa majira ya usajili wa kiangazi: Riyad Mahrez (Leicester, 68m euros), Philippe Sandler (Zwolle, 2.5m …
Wayne Rooney ambaye ni mchezaji mshambuliaji wa zamani wa klabu ya soka ya Manchester United na Everton ametupia bao lake la kwanza akiwa na klabu yake mpya ya DC United! …
Mchezaji mshambuliaji wa Tanzania na KRC Genk, Mbwana Ally Samatta yupo katika majadiliano na Levante ya huko Ligi Kuu ya Hispania ili kuona namna wanavyoweza kukamilisha mpango wa yeye kuhamia …
Jose Mourinho anatakiwa kumpiga bei beki mmoja wa kati ili asajili wakali wengine kwenye timu yake ya Manchester United inayoshiriki Ligi Kuu ya Uingereza. Amesema kuwa anataka msimu ujao awe …
Mchezaji kinda, Mbappe amemkataa kabisa Messi na kumpa nafasi Ronaldo katika mbio za kuwinda taji la Ballon d’Or ambapo staa huyo wa Paris Saint-Germain amemtaja mshambuliaji huyo mpya wa Juventus, …
Klabu ya Uturuki, Fenerbahce imewasilisha maombi ya kumfanyia usajili mchezaji mshambuliaji wa klabu ya EPL Ligi Kuu ya Uingereza, Tottenham na Uholanzi, Vincent Janssen. Janssen ana umri wa miaka 24 …
Mchezaji mshambuliaji wa kitambo klabuni Arsenal, Thierry Henry aliyepo kwenye kikosi cha ukocha wa taifa la Ubelgiji amekubali kwa maneno kuchukua uongozi wa Aston Villa ya Uingereza. Inadaiwa kuwa anaenda …
Klabu ya Chelsea inatafakari juu ya wao kukubali kumpiga bei mchezaji kiungo wao wa kati wa huko Brazil, Willian kwa dau linalotajwa kuwa ni £65m kwenda Barcelona ya huko Hispania. …
Shirikisho la Kandanda Ujerumani limekataa katukatu kuhusika na tuhuma za ubaguzi kwa mchezaji Mesut Özil na kuwa lilipaswa kuwajibika kuhakikisha kuwa mchezaji huyo hapitii ubaguzi wowote ule. Mchezaji Özil alitangaza …
Msakata kabumbu Mesut Ozil amejitoa kucheza kwenye timu ya taifa ya Ujerumani! Anasema kuwa yeye amestaafu kwa sababu ya ubaguzi wa rangi na dharau kutoka kwa Chama cha Soka Ujerumani …
Daily Star wanaweka wazi kuwa Sheffield United wamewasilisha maombi ambayo yamevunja rekodi kwa £5m kwa ajili ya mshambuliaji wa Uingereza, Martyn Waghorn. Mshambuliaji huyu ana umri wa miaka 28 kwa …
Aurelio de Laurentiis ambaye ni Rais wa Napoli amesema kuwa timu yake ya Serie A ilipendezwa sana na huduma ya Cristiano Ronaldo kabla ya mchezaji huyu wa Ureno kujiunga na …
Moja ya klabu kubwa za La Liga, Real Madrid iko tayari kutoa dau la paundi milioni 200 ili waweze kumnasa mchezaji Eden Hazard wa klabu ya Chelsea inayokipiga Ligi Kuu …
Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Liverpool kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Liverpool / Pre-season 2018/19: 07-7-2018/ Chester FC vs Liverpool 11-7-2018/ T. …
Klabu mbili za soka, Newcastle United na Tottenham zinaonekana zitakuja kumkosa kabisa mchezaji mshambuliaji wa klabu ya Nice na Ufaransa, Alassane Plea wakati ambao msakata kabumbu huyo ambaye ana umri …
On each category you can set a Category template style, a Top post style (grids) and a module type for article listing. Also each top post style (grids) have 5 different look style. You can mix them to create a beautiful and unique category page.

