Dan Friedkin amekuwa mmiliki mpya wa Roma leo, baada \ya kuripotiwa kukamilisha dili la ununuzi leo. Dili hili lililofanyika chini ya Jim Pallotta lina thamani ya €591m. Pallotta alikuwa mwenyekiti …
Makala nyingine
Nyota wa Arsenal Mesut Ozil alieeleza sababu ya kwanini alikataa kupunguziwa mshahara wake anaolipwa klabuni hapo licha ya kuwa na shinikizo kubwa kwa wakati ambao vilabu vinapambana na athari za …
Inter Vs Shakhtar: Kocha wa Inter, Antonio Conte anaonekana anataka kukipa kikosi chake kile kile kutia kazi kwenye gemu dhidi ya Shakhtar Donetsk, wakati Christian Eriksen akipigwa benchi tena. Ni …
Kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi Ronald Koeman yupo mbioni kumalizana na Barcelona kwaajili ya kuchukua nafasi ya Quique Sietien aliyetimuliwa. Mchezaji huyo wa zamani wa Barcelona aliyekuwa na …
Pep Guardiola amejidhatiti katika klabu ya Manchester City na kurudi katika klabu aliyokuwa akiinoa zamani klabu ya Barcelona “Haiwezekani kwa sasa” hii ni kwa mujibu wa wakala wa kocha huyo …
Mshambuliaji wa Liverpool Sadio Mane ameshinda tuzo ya Mchezaji wa Mwaka wa Mashabiki wa Ligi ya Primia – PFA kwa msimu wa 2019-20. Nyota huyo raia wa Senegal alifanya vyema …
Watford wamemteua Vladimir Ivic, 43, mikoba yao ya ukocha kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kandarasi hiyo itarefushwa kutegemea matokeo yatakayosajiliwa na kikosi hicho cha Ligi ya Daraja la Kwanza (Championship) …
Vincent Kompany amestaafu kucheza mpira wa miguu akiwa na umri wa miaka 34 na ametajwa kuchukua nafasi ya kuwa kocha mkuu wa timu ya Anderlecht. Mbeligiji huyo alikuwa kocha mchezaji …
Matumaini ya Manchester United kunyanyua ubingwa wa Europa League kwa mara ya pili chini ya kipindi cha miaka minne yalizimwa na Sevilla mnamo Agosti 16, 2020. Hii ni baada ya …
Baada ya kutolewa katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Europa. Nahodha wa Manchester United – Harry Maguire hakubaliani na uwezo wa timu yake. Man United walipata goli la …
Kocha wa Inter Millan – Antonio Conte amesema anawaona Shakhtar Donetsk kama ndio timu ya kwanza itakayokuwa ngumu kwa vijana wake kwenye Ligi ya Europa. Baada ya nusu fainali ya …
Kinda wa Manchester United Tahith Chong amejiunga na timu ya Werder Bremen inayoshiriki ligi kuu nchini Ujerumani maarufu kama Bundesliga kwa mkopo kuelekea msimu unaofuata 2020-21. Mchezaji huyo mwenye umri …
Romelu Lukaku amepata “furaha yake” tena akiwa katika klabu ya Inter Milan na hatojutia kuondoka Manchester United. Huo ulikuwa ni mtizamo wa Mchezaji wa zamani wa United Robin van Persie, …
Nyota wa Manchester City Kevin De Bruyne amepokea tuzo ya mchezaji bora wa msimu 2019-20 katika Premier League baada ya kupigiwa kura na mashabiki wa ligi hiyo. De Bruyne aliibuka …
Bado naiwaza fainali ya world cup 2006, Pirlo wa usiku ule hakuwahi kuonekana kabla. Usiku mmoja wa kiume sana katikati ya dimba. Wafaransa walilala wanaiota miguu yake. Waitaliano walilala wamekumbatia …
Manchester City ilionekana kuwa kwenye mkondo sasa wa kushinda mechi hiyo baada ya bao la Kevin De Bruyne katikati ya kipindi cha pili kufuta bao la ufunguzi la Maxwel Cornet …
MATOKEO YA SOKA YA JANA JUMAMOSI YA TAR 15/08/2020. 🎯Champions League – Quarter-Finals FT Manchester City 1 – 3 Lyon 🎯Netherlands – Eredivisie Comeback FT PSV Eindhoven 1 – 1 …
Beki Samuel Umtiti wa Barcelona, 26, ameugua ugonjwa wa Covid-19. Nyota huyo mzawa wa Ufaransa hajawahi kuwajibishwa katika mchuano wowote tangu Julai 2020 baada ya kupata jeraha la goti. Kwa …
Klabu ya soka ya Ufaransa, Paris Saint-Germain (PSG) wametozwa faini ya Sh3.7 milioni kwa hatia ya kutorejea uwanjani kwa wakati uliostahili baada ya mapumziko ya kipindi cha kwanza walipokuwa wakivaana …
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Zambia Milutin ‘Micho’ Sredojevic Chipolopolo asifu usajili wa Larry Bwalya ndani ya Simba SC. “Simba ni timu nzuri na kubwa ukanda wa Afrika …
On each category you can set a Category template style, a Top post style (grids) and a module type for article listing. Also each top post style (grids) have 5 different look style. You can mix them to create a beautiful and unique category page.