Pau Torres: Siondoki Villareal

Beki wa Villarreal, Pau Torres amethibitisha kuwa klabu hiyo haijapokea ofa rasmi kwa ajili yake.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uhispania amekuwa akihusishwa na kuondoka kwenye kikosi cha Unai Emery baada ya kuwa na msimu mwingine wa kuvutia na Villareal.

Vigogo wa Ligi ya Premia Manchester United wanadaiwa kumfuatilia mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 kama sehemu ya mpango wao marekebisho ya kikosi huko Old Trafford kwa wiki zijazo.

Hata hivyo, beki huyo wa kati alibainisha kuwa kuwa hana haraka ya kufanya maamuzi mustakabali wake kwa kuhakikishiwa unaoendelea wa kuongezewa mkataba zaidi ya 2024 katika uwanja wa Estadio de la Ceramica.

Pau Torres: Siondoki Villareal

“Nina amani ya kuwa pale wanaponitaka, nikiwa na mkataba halali, na ofa mpya. Nimetulia, siahangaiki zaidi na ni wakati wa kuacha mawasiliano.” – Pau Torres

“Imekuwa miaka miwili mizuri sana na Villarreal, tumeshindana na wachezaji bora zaidi Ulaya. Na, ikiwa unaifanyia timu ya mji wako, ni jambo kubwa zaidi.” – Pau Torres


SHINDA SAMSUNG A32 NA AVIATOR

SHINDA Samsung A32 ukiwa na mchezo wa Aviator kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet! Kwea pipa ukusanye zawadi zako pamoja na ushindi mnono wa mkwanja!

kasa wa njano, Kasa wa Njano Awapa Ubingwa wa CL Liverpool., Meridianbet

SOMA ZAIDI HAPA

Acha ujumbe