Paul Merson ameamua kutoa ya moyoni kuhusu Mesut Ozil ndani ya kikosi cha Arsenal. Hii ni baada ya mjerumani huyo kutupwa nje ya kikosi cha timu hiyo msimu huu.
Paul Merson anaamini, kama Partey amepatiwa nafasi kwenye kikosi cha Arsenal basi Ozil anapaswa kurudishwa kwenye kikosi hicho.

Paul Merson ambaye aliwahi kuwa mshambuliaji wa Arsenal amenukuliwa akisema “Kwa upande wangu, Ozil anawezakupewa nafasi kwenye kikosi kama Partey anacheza vizuri.
“Partey anatawala safu ya kiungo na mchezo kwa ujumla. Anavyocheza Partey, anafungua nafasi kwa Ozil. Kwa sasa, Arsenal hawana mtu wa kuwalisha washambuliaji. Utakimbia uwanja mzima, lakini ukiwa kama mshambuliaji , mbio zako zitazaa matunda kama utakuwa na mchezaji mwenye mbio kama zako nyuma yako.”

Arsenal wanataabika msimu huu wakiwa wanashika nafasi ya 14 kwenye msimamo wa EPL wakiwa na ushindi wa mechi 1 kati ya 6 walizocheza kwa siku za karibuni. Hii ni kusema kuwa Mesut Ozil amelaani maamuzi ya Arteta au Arsenal wanakwama wapi??
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!




Dorophina
Ozil yupo vizuri sana wamrudishe tu kwenye kikosi cha arsenal
Caroline
Ozil anajua
Hopemwaikuka
Na kweli apewe nafas tu
Rahma
Ozili Yuko vizuli
Magdalena
Ozil kipaji chake kinafifia sababu ya kusugua benchi
Nasra
Ozil jembe
Issa
Ozil kiungo makin
Khadija
Ozil anajua sana
Sabrina
Itakua poa sana ozil akirudi kikosini fundi huyooo
Mwanahamisi
Ozil yupo vizuri
Angelina
Ozil akirud itakuwa poa sana
samiah
Ozil akirudi itakuwa vzr
Johnmary jo
Wampe nafasi nyingine anaweza kufanya vizuri#merdisnbett#
Lydia Emmanuel Magoti
Ozil anajua jamaha huyo anajua nini ana kifanya
lombo
vzr
Fatina mfingi
Ozil anajua sana
Tatu
Ozil yupo vizuri
Shakila mrope
Ozil ni jembe
Povel
Duh gunner kimewak huko msimu huuu
Janeflora malisa
Safi
Mariam mtandama
Safi
warda
Ozil anatia sana huruma