Pep, Kocha Bora Uingereza

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ametwaa tuzo ya kocha bora wa mwaka 2020/21 wa Ligi Kuu ya Uingereza kwa kupata kura nyingi kutoka kwa makocha wenzake (The League Managers’ Association Manager Of The Year – LMA)

Makocha wengine watano ambao walikuwa kwenye kinyang’anyiro hiko ni pamoja na Marcelo Bielsa (Leeds), Daniel Farke (Norwich), Emma Hayes (Chelsea Women), David Moyes (West Ham) na Brendan Rodgers (Leicester).

pep
Marcelo Bielsa

Hii ni mara ya pili kwa Pep kutwaa tuzo hiyo kwani mwaka 2018 alitwaa tuzo hiyo, 2019 ilienda kwa Chris Wilder na 2020 alitwaa Jurgen Klopp baada ya kuisaidia Liverpool kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza.


BONASI YA 50% KILA SIKU KATIKA KASINO ZA EVOPLAY HAPA MERIDIANBET.

Meridianbet na Evoplay Kasino wanakupa bonasi ya 50% ya kiasi utakachoweka katika akaunti yako leo. Unasubiri nini ni wakati wa kupiga pesa sasa na Mabingwa.

tuchel, Tuchel :Tuna Bahati Tottenham Wametusaidia Kazi., Meridianbet

SOMA ZAIDI

2 Komentara

    Goodnews

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.