Andrea Pirlo Atamfanya Ronaldo Asiondoke Juve

Kuwasili kwa kocha Andrea Pirlo kumeripotiwa kuwa moja ya sabababu ya kubadilisha mipango ya Cristiano Ronaldo pale Juventus ambaye hakuwa anaonekana kuwa anaweza kukaa hadi Juni 2022.

Kwa mujibu wa Tuttosport, kocha Andrea Pirlo amemvutia sana Ronaldo tangu siku yake ya kwanza pale dimbani Allianz na sasa supastaa huyo wa Ureno ameamua kumsaidia kiungo huyo wa zamani kushinda katika mwaka wake wa kwanza kama kocha.

Na Pirlo amejiandaa kumruhusu staa huyu wa miaka 35 kufikia malengo yake ya kibinafsi, akimshawishi mkongwe huyo kuheshimu mkataba wake unaomalizika mnamo Juni 30, 2022.

Juventus Ronaldo Sokoni

Ronaldo ameanza vyema sana msimu huu, akiweza kutia kamba magoli nane katika michezo mitano ya Serie A.

Kujifunga tena dhidi ya Cagliari kunamaanisha alipata wavu katika kila mechi yake ya kwanza ya msimu, kitu ambacho alikuwa amewahi kufanya mara moja hapo awali, na Real Madrid mnamo 2014-15.

“Ronaldo ni mtaalamu mzuri, kama sisi sote tulijua, na anaweka mfano kwa kila mtu aliye karibu naye katika mechi zote mbili na mazoezi”

 


 

Usichelewe Kukamata Mkwanja Huu!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

 

19 Komentara

    ronaldo ana mchango mkubwa sana juve kumuachia ni ngumu sana

    Jibu

    Hata Mimi nitafurahia sana kama Ronald atabaki juventus mana hasaivi ndio naona juve inamashabiki wengi kupitia Ronald hivyo itakuwa bora zaidi yeye akiendelea kumshawishi abaki

    Jibu

    Habari nzuri kama cr7 ataendelea kubaki juventus

    Jibu

    Ronaldo abaki Juve panamfaa sana

    Jibu

    Atapia akienderea kusalia Juve vizuri tuu nimtu mwenye kulipambania kabumbu

    Jibu

    Ronaldo ameanza msimu vizuri sana

    Jibu

    Ronaldo mtu wa kuhama lolote linaweza kutokea

    Jibu

    Asnt kwa taarif meridianbet

    Jibu

    Cr 7 anataka kuacha historia ya kuchez ligi zote kubwa

    Jibu

    Ronaldo yupo sahihi

    Jibu

    Akiondoka sawa akibak sawa

    Jibu

    Ronaldo yupo vizur

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Abaki tuuu juve asiondoke popote

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Mm naam maamuz anayo mwenyew ronald

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Cr7 abaki tu juve panamfaa sana

    Jibu

    Mie naona asepe tu pasimzoee sana

    Jibu

Acha ujumbe