Pochettino Kufaidi Vita ya Maneno ya Tuchel na PSG.


 

Mazungumzo yanaendelea kati ya Paris Saint-Germain na aliyekuwa meneja wa Tottenham Mauricio Pochettino na yapo katika hatua kubwa. Thomas Tuchel alitimuliwa na PSG siku ya Alhamisi miezi minne baada ya kuipeleka PSG katika Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya.

Mazungumzo baina ya aliyekuwa meneja wa Tottenham, Southampton na Espanyol yanaaminika kuwa katika hatua za mwisho huku ikisubiri kuafikiana na makubaliano kwa pande zote.

 

Pochettino aliyetimuliwa Spurs mwezi November 2019, anatarajiwa kuwashinda Thiago Motta, ambaye PSG wamekuwa wakiwasiliana naye hivi karibuni kwaajili ya kibarua hicho.

Kufukuzwa kwa Tuchel kunakuja baada ya kutoa kauli ambayo ilichikuliwa kama kukosa adabu kwa viongozi wa klabu hiyo.

Tumepoteza wachezaji wengi ambao walikuwa huru [bila mikataba]. Imekuwa zaidi. Hatuwezi kupata tulichokipata katika msimu uliopita katika kikosi hichi.” alisema Tuchel

 

Tuchel Haogopi Kuhusu Kazi Yake Baada ya Kupoteza kwa 2-1.

Siku iliyofuata mkurugenzi wa michezo. Leonardo alitoa kauli ambayo ilionekana dhahiri kuchukizwa na maneno ya Tuchel.

Inabidi uheshimu watu walioko juu yako, sijapenda kauli yake na klabu haijapenda pia.” alisema Leonardo


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

11 Komentara

    Psg wamefanya haraka kumtimua tucher

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridian bert

    Jibu

    Naona ametembea na fursa

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Saf sana psg

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Pochettino atalamba deal nono sana

    Jibu

    Safiii

    Jibu

    Kaliii

    Jibu

    Ajipange PSG wako poa sana

    Jibu

Acha ujumbe