Pochettino Kurejea Spurs!

Klabu ya Tottenham tayari inafanya mazungumzo ya kumrejesha tena meneja wao wa zamani Mauricio Pochettino, ambaye kwa sasa anahudumu kama meneja kule Paris Saint-Germain.

Kwa mujibu wa Skysport, Tottenham wamefikiria na wameanza jitihada za kumrejesha Pochettino Spurs.

Ni miezi 18 tangia Muargentina huyo aondoke Spurs, akifanikiwa kuanza vyema kama meneja wa PSG ambako pia alisaini mkataba wa mda mfupi wa miezi 18.

Mauricio Pochettino
Mauricio Pochettino, PSG

Akiwa Ligue 1 Pochettino tayari ameshashinda mataji mawili ya ndani Ufaransa, alifanikiwa pia kuwafikisha PSG kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa baada ya kuwachapa Barcelona na Bayern Munich, lakini wakachapwa na Manchester City.

Hata hivyo, Pochettino hajaficha ukweli kuwa anatarajia kurejea Spurs ambako bado anaamini ana biashara ambayo haijakamilika huko. Lakini ni wachache ambao walitarajia angerejea mapema hivi.

Kwa kuzingatia umuhimu na mchango wake mkubwa klabuni hapo, Spurs wanaweza kufanikiwa kumrejesha meneja wao, japokuwa hii inaweza kuwa gharama tofauti na angekuwa hana mkataba na klabu nyingine.


BONASI YA 50% KILA SIKU KATIKA KASINO ZA EVOPLAY HAPA MERIDIANBET.

Meridianbet na Evoplay Kasino wanakupa bonasi ya 50% ya kiasi utakachoweka katika akaunti yako leo. Unasubiri nini ni wakati wa kupiga pesa sasa na Mabingwa.

tuchel, Tuchel :Tuna Bahati Tottenham Wametusaidia Kazi., Meridianbet

SOMA ZAIDI

2 Komentara

    Kila la kheri kwake

    Jibu

    Karibu sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.