Pogba Kufanya Mazoezi Carrington

Makala iliyopita
SIMBA KAZI INAENDELEAMakala ijayo
Kolo Muani: Siondoki PSG Januari
Kufuatia kuvunjiwa mkataba na klabu ya Juventus kiungo huyo wa kimataifa wa Ufaransa inaelezwa atakua kwenye uwanja wa mazoezi wa Man United akijifua wakati anasubiri timu, Jambo hili limeibua mitazamo tofauti tofauti kwani baadhi ya mashabiki wa klabu hiyo wakitamani kumuona akivaa jezi ya klabu hiyo tena huku wengine wakisema hapaswi kupewa nafasi nyingine ya kuitumikia klabu hiyo.