Vilabu vya Ligi Kuu ya UingerezaΒ (Premier League) vyaamua kukubaliana kurejea kwenye utaratibu wa awali wa sabu 3 kwa mechi kwa msimu wa 2021.
Mabadiliko ya sheria ya kuwa na sabu tano, kutoka katika benchi la wachezaji tisa iliianza kutumika baada ya likizo ya corona.
Lengo la sheria hii ilikuwa ni8 kuzipa nafasi timu kuwa na uwanja mpana wa kuwapumzisha wachezaji kutokana na ratiba ngumu ya mechi walizokuwa nazo mbele yao. Hata hivyo, kulikuwa na hisia kuwa baadhi ya timu kubwa ndiyo zilinufaika zaidi na utaratibu huu mpya kwa sababu ya upana wa vikosi vyao. Walihisi hakukuwa na usawa hapa.
FIFA wao walitoa ruhusa kwa vilabu kufanya maamuzi katika ngati ya nchi husika kama wangehitaji kutumia sabu 5. Lakini Vilabu vya EPL vimeamua kupiga kura kurejea kwenye mfumo wa zamani wa sabu 5.
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.
Devotha
Habari njema
Rose kapinga
Ni sawa tuu Kama inafaa
Janeflora malisa
Makala nzr
Gabriel
Upande wng me naikubal sana hii system ambayo iliyoanzishwa na FIFA iko vzur sana sabu kuwe n wa 3 tu ndo nzur
Kwangu n habar njema sana π
Amiri Kayera
Aah kwer lkn iwe km zaman t
Sabrina
Asante kwa habari
Rehema
Makala mzuri
Latifa juma mohamed
Ahsanten kwa taarifa na meridian
David Pere
Timu nyingi zinauoga Ndio maana wanataka kukataa Sabu 5 maana Kuna timu Zina wachezaji wengi wazuri
Theonestina
Habari njema Sana
Mwajumah
Ni sawa tu Kama inafaa#Meridianbettz
Dorophina
Hii ni habari njema
magdalena
litakuwa jambo la maana sana
Mwanahamisi
Makala nzuri
Adelta
Hii Ni habari njema
#meridianbettz
Khadija
Itakuwa jambo la maana#meridianbettz
Zeiyana
Hitakua ngumu kwa makubaliano sababu timu nyengine zipo na wechezaji wengi wazuri kwa 5 ndio itakua vizuri
Nasra
Safii
Caroline
Sabu tano ndo poa
Ester jackson
Nawaunga mkono FIFA kwa mpangilio walio uweka
Fatina mfingi
Safi
Sadick
Nadhani FIFA isingeweka hiyari ktk jambo hili ingefanya sheria ya kudumu. Hivi karibuni nilishuhudia mechi ya FA kati ya Chelsea na Arsenal ambapo Chelsea ilipoteza wachezaji watatu kwasababu ya majeruhi ilikuwa rahisi kufanya sub zote 5 bila kuathiri sana uwezo wa timu#meridianbettz
Samiah
Hii nihabari njemaaa
felister
kwa upande wangu ni vizuri tu
Lydia Emmanuel Magoti
Habari njema sana
Frank
Ingeenda kuwa na faida kwa team chache
Tatu
Habari njema
Shafii
Sub 5 nyingi Sana kwenye mchezo wa soka la miguu tatu zinatosha Sana.
Furahav
Itakua sawa tu.
farida ahmadi
Habari njema Sana
Issa
Sub 3 ni makini mno
Hope mwaikuka
Cjaelewa hii
Fatuma kasomo
Asante kwataarifa
Omary lukumbi
Mimi naona swala la sabu 5 vilabu vya epl wangekaa chini kutafakar kwa kina juu ya uamuz waliochukua kukubali kurud kwwnye sheria ya sabu 3
Ernest
Binafsi naona Sub 5 zingezaidia sana timu mbalimbali katika kufanya rotation ya wachezaji wao hasa wakati wa majeruhi na ata kuwapa fursa wachezaji wengine kupata nafasi ya kucheza
aisha
Itakua jambo la maana
warda
Imekaa poa sana hii