Paris Saint-Germain (Psg) watakuwa na siku 12 zaidi za kujiandaa kwa msimu mpya wa 2020-21 katika Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) baada ya vinara wa soka ya Ufaransa kukubali kuratibu upya mechi zao.

Psg walitazamiwa kupepetana na Lens katika mchuano wao wa ufunguzi wa msimu huu mnamo Agosti 29, 2020, zikiwa ni siku sita baada ya kupigwa 1-0 na Bayern Munich kwenye fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA).
Hata hivyo, mechi hiyo kwa sasa itasakatwa Alhamisi ya Septemba 12, 2020, baada ya likizo ya michuano ya kimataifa.
Kampeni mpya za Ligue 1 kwa minajili ya msimu huu zilianza wikendi iliyopita ya Agosti 22 bila timu hiyo waliokuwa wakijiandaa kwa gozi dhidi ya Bayern kushirikishwa.

PSG walitawazwa Mabingwa wa Ligue 1 msimu huu kwa alama 12 zaidi kuliko Olympique Marseille baada ya kivumbi hicho kutamatishwa ghafla mwishoni mwa Aprili 2020 kutokana na janga la corona.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.


rama
vizuri sana timu zipate kujiandaa vizuri zaid
Mwajumah
Wamefanya vizuri kusogeza mbele iyo ratiba maana team zijiandae vizuri#Meridianbettz
Ester jackson
Itakuwa vizuri sana mana wametako kwenye upizani wa huu sana kupumzika kwao kutawapa mupa wa kupumzisha mwili wao na kujiandaa na mazoezi vizuri
Khadija
Wamefanya jambo jema sana hili wachezaji wajiandae na mazoez ya kutosha
Sylvester
Chama cha soka Ufaransa wamefanya vizuri kusogeza ligi mblele kidogo ili wachezaji wa Psg wapumzike kidogo baada ya pilika pilika za kumaliza fainali ya UCL
Zeiyana
Me naona hitakua vizuri kwa upande wa mbappe ukingalia alikua bado hana jeraha ambalo angetakiwa hapunzike kwa mda
Fatina mfingi
Ni Jambo zuri sanaa maanbtimu zote zitajipanga vizur
Caroline
Sema Psg mjipange vizuri.msituangushee
Sauda
Ni bora ili wajipange zaidi
felister
itakua vizuri wajipange ili waweze kufanya vizuri msimu ujao
Tatu
Huu mda mnzuri timu zipate kupumzika ndio kwa ajili ya mashindando ya msimu mjao
Dorophina
Ni bora walivyofanya hivyo psg wanapata mda wa kupumzika baada ya kufululiza mechi
Rehema
Ni kheri wajipange kwanza
Adelta
Ni Jambo jema ili wajiandaye vya kutosha
@meridianbettz
aisha
Ni bora zaidi ili timu zijipange
Fatuma kasomo
Wajipange ili waweze kujipanga msimu ujao
Nasra
Anahitaji kupumzika kdg
Mwanahamisi
Ni bora zaidi ili timu zijipange
Sadick
Kwa namna PSG ilivyopewa Ubingwa eti kwamba ligi haingerejea mpaka mwezi September kutokana na covid19 haikuwa sawa. Tumeona namna EPL, serie A, Bundesliga na Laliga zilivyorejea na kupatikana bingwa kihalali#meridianbettz
Salma ngende
Ni vizuri ili team zijipange
Issa
Ni bora kwa psg ratiba ingewabana tu
Leonard
Habari nzuri
Neema
Itakuwa vizuri mno ili wajipange vyema
Latifa juma mohamed
vizuri sana timu zipate kujiandaa vizuri zaid
farida ahmadi
Ni jambo zuri Sana ili timu iweze kujipanga vzr
Shan
Itawapa wakati wa wao kujipanga.
Saupha mohamed
Jambo zuri
Hope mwaikuka
Imekua heri maana wako na maumivu
Gabriel
Itapaswa msimu huu PSG waangalie makosa waliofanya mwanzo ili wajipange kuchukua ubingwa msimu utakapoanza nawakubal sana PSG
Povel
Habar njema kwa mashabik wa Matajir wa jiji wa paris
Sabrina
PSG wajipange sasa
Amiri Kayera
Psg ratiba iliwabana san
Shafii
Hii iko poa ni wakati wa wao kujipanga .
Lydia Emmanuel Magoti
Hii iko poa ni mwendo wakujipanga kisawa sawa mazoezi tosha
Ernest
Hapa Bodi ya Ligi imetenda haki wa PSG na Lyon
Furahav
Jambo zuri.
David Pere
Wamefanya vizuri kusogeza mbele iyo ratiba maana team zijiandae vizuri#Meridianbettz
warda
Bora Hasa wapunzike
magdalena
bora wamesoogeza mbele ili wapate muda wa kutosha wa kusahihisha makosa yao na kujipanga vizuri
Samiah
Nijambo zuri
Devotha
Habari nzuri