Raja dhidi ya Zamalek Yahairishwa.


Shirikisho la Soka Afrika “CAF” limekubali kuahirishwa kwa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa mchezo wa mkondo wa pili kati ya Zamalek SC ya Misri 🇪🇬 dhidi ya Raja Club Athletic ya Morocco 🇲🇦.

Hii ni baada ya wachezaji tisa wa Raja Club Athletic kukutwa kuwa wana virusi vya Corona. Katika mtanange wa kwanza huko jijini Casablanca, Zamalek waliibuka na Ushindi wa 0-1 kwa bao pekee la Achraf Bencharki.

Wizara ya Afya ya Morocco iliamuru Wachezaji wa Raja kujitenga karantini kwa wiki moja na hiyo ingefanya kuzuia kusafiri kwenda Misri kwa mchezo huo wa Jumamosi hii ya Oktoba 24 ndani ya Uwanja wa Kimataifa wa Cairo.


Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.

Soma Zaidi

28 Komentara

    Hii Corona sio pouwa kabisa

    Jibu

    corona imerudisha mambo mengi nyuma sana

    Jibu

    Coronavirus sio poa kabisa

    Jibu

    Corona imewafanya kila kitu kiludi nyuma

    Jibu

    Corona hatari sana

    Jibu

    Duu Corona sio poa inaludisha vitu nyuma Sana

    Jibu

    Hii Corona sasa imekuwa kikwazo.ila pole sana kwa wachezaji hao

    Jibu

    Duh!!!corona inarudisha mambo nyuma sana

    Jibu

    Covid19 ni janga zito wazid kuchukua tahdhari

    Jibu

    Corona sasa inayumbisha uchumi wa nchi nyingi kwenye tasnia ya michezo

    Jibu

    Corona inaturudisha nyuma sanaa

    Jibu

    Corona sio poa kabisa

    Jibu

    Corona sio powah kwa kweli

    Jibu

    Duh sio poa

    Jibu

    Ttz hil sijui mpk lin

    Jibu

    Corona inajuwa kuyumbisha

    Jibu

    Duuh hii corona ni tishio sasa

    Jibu

    Colona sio poa

    Jibu

    Tanzania tumeshasahau habari za corona

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    Duuh majanga hayo

    Jibu

    Covid-19 Nishidaa

    Jibu

    hii corona sio poa kabisaaa

    Jibu

    Imekaa poa sana 👍

    Jibu

    Corona ndo chanzo

    Jibu

    Covid noma

    Jibu

    Covid 19 ni janga la dunia

    Jibu

    Da malazi haya sio poa

    Jibu

Acha ujumbe