Rasmi Chido Obi Martin ni Mchezaji wa Man United
Makala iliyopita
Solskjaer Yupo Tayari Kurudi Man United
Makala ijayo
Guardiola: Rodri Hatacheza tena Msimu huu
Manchester United imemchukua kinda Chido Obi Martin kwa malengo muda mrefu klabuni hapo kutokana na umri wake mdogo tu wa miaka (16) tu, Hivo mchezaji huyo ataendelea kupata nafasi taratibu ndani ya kikosi cha Man United mpaka pale atakapokomaa na kuaminika zaidi kwenye kikosi cha kwanza.