Kwa mujibu wa Waziri Mkuu wa Hispania Pedro Sanchez, ligi ya La Liga inaweza kuendelea kuanzia Juni 8.
Wakati kila ligi ulimwenguni ikiwa inajiandaa kurejea, kwa kuhakikisha kunakuwa na tahadhari za afya, huu unaweza kuwa wakati muafaka wa kuendelea kufurahia soka.
Raisi wa Ligi ya Laliga, Javier Tabas , aliweka wazi kabla kuwa alikuwa na matumaini kuwa ligi ingerejea mapema Juni 12. Hata hivyo, Laliga hawakuthibitisha kama hii itakuwa tarehe rasmi.
Kismsingi, uongozi wa Laliga ulikuwa unatarajia Tamko la serikali ambalo lingewaongoza katika kufanya maamuzi na mipango ya kuendelea.
Mwanzoni mwa wiki, wachezaji wa Laliga walikuwa wanaweza kufanya mazoezi katika makundi ya wachezaji wasiozidi 10.
Waziri Sanchez amesema “Kuanzia Juni 8 Laliga itarejea”. Ameongeza kuwa Hispania imejitahidi kufanya kila linalowezekana na sasa milango mingine inafunguliwa kwa kila mtu ukiwa ni wakati wa kurejea kufanya shughuli za kawaida za kila siku.
Bila shaka, Laliga wataendelea kufuata maelekezo ya shirika la Afya Duniani, pamoja na Wizara yenye dhamana nchini humo, ikiwa ni pamoja na kucheza bila mashabiki kwa sasa.
Ligi ya daraja la pili Hispania inatarajiwa kuanza wakati huo huo pia, kama Ligi Kuu LaLiga. Kwa wapenzi wa soka ni wakati wa kufurahia radha halisi ya soka.
SADICK
uhondo wa la liga unakaribia. Habari njema kwetu#Meridianbettz
mwakalosi
hii ni habari njema aisee
Swai
Mambo mazuri yanakuja
Nasra
Mambo moto moto sasa
Emmy cleopa
Ahsante kwa habari nzuri
Tahiya
Ni habari njema kwa wanasoka
Furahav
Uondo huoooo.
Zeiyana iddi
Mashabiki tuna subiri kwa hamu zote
Mariam mtandama
Meridianbet #muko vizur
Ester
Mambo mazuri haya yanakuja
Lombo
gud newz
frank patrick
Tutarajie ongezeko la tofauti kwenye uendeshwaji wa mchezo kwa league ya spain la toafuti na bundasilga
Neema juma
Mamboo mubasharaaa kabisaa
Samiah
Gud news
Khadija
mambo mazuri hayo yanarudi maana tumemis ligi#meridianbettz
Evaluziga
Mashabiki tunaisubili kwa hamu
Povel
Ni habar njema kwa Mashabik na wapenz wa la liga thanks meridian bet kwa update
Mwanaidi
Ule utamu wa laliga ambao wengi tulikwa tunausubiri unakaribia
dorophina
Hii Ni habari njema sana
Genia Sikaluzwe
Habari njema kwa mashabiki
Rehema Dickson
Mambo mazuri yanakuja
Kenani
No habar nzur kwetu
Mwajuma
Habari njema kwa wadau wasoka
Mwanahamisi
Mambo Ni moto
Lydia Emmanuel Magoti
Mambo mazuri ayo yanajiri mahana tumemic Sana
Isaya massawe
Jambo zuri maana tulisubiri sana
winfrida
bora la liga ianze
Shafii
Lig bora ya mgoli mengi Sasa mda wa kubeba mizigo
Ester mmakasa
Ni habari inayofurahisha sana tunaanza tena kupata uhondo wa mpira.
Ernest
Let’s go Laliga
Magdalena
Woyooo Bora ligi zianze ili tuanze kujipatia mapesa #meridianbet
Gabriel
Good news 👍#meridianbettz
Elika
Bora ligi zianze maana tulimisi sana michezo
David pere
Irejee tu tuangalie uwezakano wa kutafuta pesaaa
aisha
Imekaa pouwh
Neema hassan
Mambo moto#meridianbettz