Klabu ya Paris Saint Germain wamemtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Tottenham Mauricio Pochettino kama mrithi wa Tuchel ambaye tayari walishasitisha mkataba wake.
Pochettino amewasili PSG leo na kusaini mkataba hadi Juni 2022, huku kukiwepo na kipengele cha kuongeza mkataba kwa mwaka mmoja zaidi.
Pochettino ana historia ya mda mrefu na PSG, ambako aliwahi kuichezea kama beki wa kati. Alicheza jumla ya mechi 95 kati ya mwaka 2001 hadi 2003 akifanikiwa kufunga magoli 6.
Kuwasili kwake PSG kunatarajiwa kuwa kunaweza kuongeza chachu ya jitihada za klabu hiyo kumsajili Christian Eriksen kutoka Inter.
“Ninafuraha kubwa na kuhisi fahari kuwa meneja mpya wa Paris Saint-Germain. Ninaishukuru klabu kwa kuniamini. Kama mnavyojua, klabu hii imekuwa na sehemu yake moyoni mwangu. Nina kumbukumbu nzuri za hapa, hasa hali ya hewa nzuri ya Parc des Princes.”
– Mauricio Pochettino akinukuliwa na tovuti ya PSG.
Mwenyekiti na mkurugenzi wa PSG, Nasser Al-Khelaïfi amesema kuwa wanashukuru kumkaribisha Pochettino tena klabu hapo, na wana matumaini kuwa atawapa kile klabu inachotarajiwa kutoka kwake.
___________________________________________________________________
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?
Neema juma
Habarii nzuri sana
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri
Adelta
Good
Sania
Safi sana
Angelina
Tuchel atakumbukwa kwa mchango wake
Sarah
Habari njema
Shakila mrope
Habari njema
Sabrina
Inapendeza sana karibu PSG
Caroline
All the best Pochettino.
felister
atakumbukwa daima
Dorophina
Wamepata kocha bora zaidi naamini ataleta mabadiliko ndani ya klabu
Mwanahamisi
Safi sana
Saupha mohamed
Nice
Devotha
Very good
Hopemwaikuka
Kaz kazin
Magdalena
Kila LA kheri kwake
warda
Nae ajiandae akivurunda out
Issa
Psg wamepatakocha