Ratcliffe: Tunataka kua kama Real Madrid
Makala iliyopita
JOBE ANASUBIRIWA KWA HAMU APEWE THANK YOU
Makala ijayo
Aston Villa Kuibomoa Chelsea
“Sasa tutahitaji dirisha la usajili la majira ya kiangazi mara mbili au tatu ili kurekebisha mambo,”
Tangu klabu hiyo ichukuliwe na Sir Jim Ratcliffe imefanya mabadiliko kadhaa kuanzia kwenye uongozi ambapo walimuondoa mkurugenzi mkuu mtendaji klabuni hapo, Mkurugenzi wa michezo, na kufanikiwa kumleta mkuu wa kitengo cha ufundi huku wakipanga kufanya usajili wa maana kwenye dirisha kubwa la mwaka huu.