Liverpool wanatarajia kuendeleza ubabe wao katika mbio za kuwania taji la EPL kwa mara ya kwanza katika miaka 30. Jitihada zao za kutwaa ubingwa baada ya kuambulia patupu miaka hiyo yote zitaendekea pale wanapokutana na Everton Jumapili ya kwanza ya michuano kuanza.
Ratiba iliyotolewa leo Ijumaa inaonesha kuwa debi hii ya Merseyside itachezwa Jumapili Saa moja usiku -Kwa mda wa Uingereza.
Everton wanatarajiwa kuwa wenyeji wa mechi hii. Hata hivyo, kuna walakini mechi ikahamishiwa kwenye uwanja wa mechi za pamoja kutokana na mikakati ya kiafya.
Liverpool wanaweza kujitangaza mabingwa kama watashinda dhidi ya Everton lakini hii itawahitaji Manchester City kupoteza dhidi ya Arsenal kwenye siku ya kwanza ya muendelezo wa Ligi pale Juni 17.
Ratiba ya Wiki za Awali za Kurejea kwa Ligi
Jumatano, Juni 17
Aston Villa v Sheffield United
Manchester City v Arsenal
Ijumaa, Juni 19
Norwich City v Southampton
Tottenham v Manchester United
Jumamosi, Juni 20
Watford v Leicester City
Brighton and Hove Albion v Arsenal
West Ham v Wolves
Bournemouth v Crystal Palace
Jumapili, Juni 21
Newcastle United v Sheffield United
Aston Villa v Chelsea
Everton v Liverpool
Jumatatu, Juni 22
Manchester City v Burnley
Jumanne, Juni23
Leicester City v Brighton
Tottenham v West Ham
Jumatano, Juni 24
Manchester United v Sheffield United
Newcastle United v Aston Villa
Norwich City v Everton
Wolves v Bournemouth
Liverpool v Crystal Palace
Alhamisi, Juni 25
Burnley v Watford
Southampton v Arsenal
Chelsea v Manchester City
Jumamosi, Juni 27
Aston Villa v Wolves
Jumapili, Juni 28
Watford v Southampton
Jumatatu, Juni 29
Crystal Palace v Burnley
Jumanne, Juni 30
Brighton v Manchester United
Jumatano, Julai 1
Arsenal v Norwich City
Bournemouth v Newcastle United
Everton v Leicester City
West Ham v Chelsea
Alhamisi, Julai 2
Sheffield United v Spurs
David Pere
Hapo Kuna mechi ngumu sanaa kuliko matarajio ya wengi
mathayo sonje
hizi ratiba ni hatari sana, ukiangalia mfululizo wa mechi zenyewe, ni vigumu kusema ligi imekwisha, bado ratiba ni ngumu
Zeiyana
Nasubir chamalangu Chelsea..!
Gabriel
Meridianbet mambo n moto
mwakalosi
mininataka hiyo mechi ya kwanza
Kenani
Zote Kali sijui nitoke nazo vp hz
Dorophina
Mechi zote za kukata na shoka hachomoki mtu hapo
Latifa juma mohamed
Duuh mechi zote za kuchimbua mzizi kwa shoka ,kwng ni ubashir wa mechi mbil mbili ttena2+Tia mzigo hiyo ni sure
Salma
Mechi zote kali
Neema juma
Na hivii tulizimic ratiba imekaaa bomba kabisa
Rehema
Jaman mechi zote ni Kali sana
Agness
Meridani Safi sana
Mwanaidi
Asante kwa taarifa #meridian
Antony Luseno
Bora maamuzi ya hii ligi walivoamua irudi maana kuhusu bingwa lilikuwa ni swala la utata sana
Hope mwaikuka
Karina iko vzur kaz kwetu kuandaa mikeka yetu na kutusua mapene
Tahiya
Siyo ya kizembe iyo ni kuandaa tyuu mkeka
Evaluziga
Zote Kali sijui nichahue ipi navilugwa hapo
felister
naisubiri kwa hamu kubwa game ya man city na arsenal
Ester jackson
Eeebwana mambo ndio hayo mechi mapema nikuweka mzigo
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa #meridianbettz
Rehema Dickson
ukiangalia mfululizo wa mechi zenyewe, ni vigumu kusema ligi imekwisha, bado ratiba ni ngumu
Theckla
Mechi ngumu sana
winfrida
liver kazeni taji la EPL linaweza likawa lenu
isha
hapo nimetulia tuli naisubili liverpool ndio chama langu
Warda
Ila Liverpool wamesotea kombe mda sana#Meridianbettz
Elika
Pamoja na hiyo ratiba bado karata yangu naiangushia kwa liverpool..
Adelta
Mechi za Leo sio POA sana
Devotha
Asanteni kwa taarifa ila Liverpool ni mwaka wao huu
Khadija
Hizo ratiba ni hatari sana #meridianbettz
Mwajuma
Ratiba imekaa vizuri sanaa na burudani itakuwa safii
Asha mvugalo
Epl is Back again
Isaya massawe
Ratiba iko vizuri ngoja niandae jamvi langu
#meridianbettz
Sadick
Ratiba inatuwezesha kuweka mkeka wa wiki nzima kwa mechi za EPL.Hii habari muhimu#meridianbettz
Ester mmakasa
Safii sana hii inasaidia kwasababu nitaweka ratiba yangu sawa.
Christopher
City na arsenal tunaisubir kwa hamu
Hamidu
Tusubil burudani ya soka#meridianbettz
Ernest
Time for placing bets on EPL with Meridianbet.
Aziza mushi
Mechi zotee kalii meridiani safii
JULIANA
Arsenal baba lao lazima kieleweke
Povel
Time to Betty thnks meridian kwa update
Amani
Ngoja niwahi kubet nisubiri matokeo mechi zangu naweka 3+ zote
Mwanahamisi
Mechi Kama zote
Genia Sikaluzwe
Mechi zote kali ni mwendo wa kubet tu
Magdalena
Ratiba imekaa poa poa Sana tushindwe kujinyakulia pesa
Caroline
Tunasubiria Kwa hamu.
Lydia Emmanuel Magoti
Mechizaleo zote Kali sijui nitokenazo vip
Theonestina
Duuuh yaani apo kufumba na kufumbua pesa kibindon
Samiah
Mechi zaleo zite bomba
Mariam mtandama
Duuuh
Furahav
Nasubili nione km watabeba liver ubingwa.
Asia Abdy
Duuh majeshi kama yotee
Sabrina
Maoni:asante kwa taarifa