Real Madrid na Rekodi Mbaya Chini ya Zidane.


Mkufunzi wa Real Madrid, Zinedine Zidane amekuwa na msimu mbovu tangu aliporejea kuino timu hiyo na sasa ameeingiza timu katika rekodi mbovu zaidi katika UEFA.

Timu ambazo zimeshinda nyumbani na Ugenini Katika Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid

🇮🇹 Juventus (2008)
🇷🇺 CSKA Moscow (2018)
🇺🇦 Shakhtar Donetsk (2020)

 

Real Madrid na Rekodi Mbaya Chini ya Zidane.

Zinedine Zidane amepoteza michezo mingi ya #UCL ya hatua ya makundi (2) mnamo 2020/21 kama katika misimu yake Mitatu ya awali katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa akiwa meneja wa Madrid.

Madrid Sasa mguu mmoja ndani Europa League, mwingine ndani ya Champions League:

Mara ya mwisho Real Madrid ilishiriki Kombe la UEFA / Europa League ilikuwa mnamo 1994/95. Bahati itahitajika kuwa upande wao ili kuepuka kuangukia kwenye Europa League. Baada ya Madrid kufungwa 2-0, Kundi B lipo hivi.

🇩🇪 Gladbach (Mechi 5, 8 points)
🇺🇦 Shakhtar (Mechi 5, 7 points)
🇪🇸 Real Madrid (Mechi 5, 7 points)
🇮🇹 Inter (Mechi 5, 5 points)


FURAHIA MUZIKI MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

INGIA MCHEZONI

27 Komentara

    Madrid wana wakati mgumu ila wavumilie kipindi cha mpito tu

    Jibu

    Hapo madrid wavumiliye kwa sasa

    Jibu

    Duuh wawe wavumilivu tu yataishaa

    Jibu

    Madrid hapo wawe wapole tu

    Jibu

    Madrid wapo vzr sana

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Zidane amekua na msimu mbaya pole Sana

    Jibu

    Zidane Mambo yashakuwa magumu sasa

    Jibu

    Zidane bora asingerudi Madrid maana inaenda kumuaribia jina kwa matokeo mabaya anayoendelea nayo

    Jibu

    Ukiangalia nadhani shida sio Zidane ni kikosi chenyewe, Zidane alijiwekea heshima kubwa sana lakini huenda ikasaulika haraka kuliko tulivyotarajia.

    Jibu

    Zidane afanye mabadiliko

    Jibu

    Zidane inabidi kufanya jitihada kurudisha klabu kama hapo awali laasivyo bodi itamtema

    Jibu

    Ni kweli rekodi mbaya sana kwake ila ukweli key player wengi washazeeka pale inabidi atengeneze timu upya na vijana

    Jibu

    Imekuaje tena

    Jibu

    Dah hua namkubali sana ziddane😥

    Jibu

    Madrid wanawez kufany mabadiliko katika kikosi chao hv karibu katika dirisha dogo

    Jibu

    Mara ya mwisho Real Madrid ilishiriki Kombe la UEFA / Europa League ilikuwa mnamo 1994/95. Bahati itahitajika kuwa upande wao ili kuepuka kuangukia kwenye Europa League. Baada

    Jibu

    Bora angebak uarabun kuliko madud anayoleta madrid

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Ndo hvyo sasa

    Jibu

    Asnt kwa taarif meridianbet

    Jibu

    Madrid wapo vizuri

    Jibu

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    Mpo juuu meridian

    Jibu

    Itakaa poa tu

    Jibu

Acha ujumbe