Mkufunzi wa Real Madrid, Zinedine Zidane amekuwa na msimu mbovu tangu aliporejea kuino timu hiyo na sasa ameeingiza timu katika rekodi mbovu zaidi katika UEFA.
Timu ambazo zimeshinda nyumbani na Ugenini Katika Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid
🇮🇹 Juventus (2008)
🇷🇺 CSKA Moscow (2018)
🇺🇦 Shakhtar Donetsk (2020)

Zinedine Zidane amepoteza michezo mingi ya #UCL ya hatua ya makundi (2) mnamo 2020/21 kama katika misimu yake Mitatu ya awali katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa akiwa meneja wa Madrid.
Madrid Sasa mguu mmoja ndani Europa League, mwingine ndani ya Champions League:
Mara ya mwisho Real Madrid ilishiriki Kombe la UEFA / Europa League ilikuwa mnamo 1994/95. Bahati itahitajika kuwa upande wao ili kuepuka kuangukia kwenye Europa League. Baada ya Madrid kufungwa 2-0, Kundi B lipo hivi.
🇩🇪 Gladbach (Mechi 5, 8 points)
🇺🇦 Shakhtar (Mechi 5, 7 points)
🇪🇸 Real Madrid (Mechi 5, 7 points)
🇮🇹 Inter (Mechi 5, 5 points)
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!




Magdalena
Madrid wana wakati mgumu ila wavumilie kipindi cha mpito tu
Adelta
Hapo madrid wavumiliye kwa sasa
Sabrina
Duuh wawe wavumilivu tu yataishaa
Aziza mushi
Madrid hapo wawe wapole tu
Khadija
Madrid wapo vzr sana
Fatina mfingi
Duuh pole yao kwa kweli
Ester jackson
Duuuh
Caroline
Zidane amekua na msimu mbaya pole Sana
Lydia Emmanuel Magoti
Zidane Mambo yashakuwa magumu sasa
Samira
Zidane bora asingerudi Madrid maana inaenda kumuaribia jina kwa matokeo mabaya anayoendelea nayo
Ernest
Ukiangalia nadhani shida sio Zidane ni kikosi chenyewe, Zidane alijiwekea heshima kubwa sana lakini huenda ikasaulika haraka kuliko tulivyotarajia.
Tatu
Zidane afanye mabadiliko
Dorophina
Zidane inabidi kufanya jitihada kurudisha klabu kama hapo awali laasivyo bodi itamtema
Sylvester
Ni kweli rekodi mbaya sana kwake ila ukweli key player wengi washazeeka pale inabidi atengeneze timu upya na vijana
Fatuma kasomo
Imekuaje tena
Asia Abdy
Dah hua namkubali sana ziddane😥
Povel
Madrid wanawez kufany mabadiliko katika kikosi chao hv karibu katika dirisha dogo
David Pere
Mara ya mwisho Real Madrid ilishiriki Kombe la UEFA / Europa League ilikuwa mnamo 1994/95. Bahati itahitajika kuwa upande wao ili kuepuka kuangukia kwenye Europa League. Baada
Issa
Bora angebak uarabun kuliko madud anayoleta madrid
Latifa juma mohamed
Safii
Hopemwaikuka
Ndo hvyo sasa
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet
[email protected]
Asnte kwa taarifa
Saupha mohamed
Madrid wapo vizuri
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
samiah
Mpo juuu meridian
warda
Itakaa poa tu