Stade Rennes wameweka dau la kumuuza kiungo wao, Eduardo Camavinga kuwa ni β¬50m huku tayari wakiwa wamepokea ofa kutoka kwa Real Madrid.
Madrid wanamtaka kiungo huyo mkabaji kwani anaonekana ni Ngolo Kante ajae huku akiwa amebakiza mkataba wa mwaka mmoja na Rennes hivyo miamba hiyo ya Hispania wapo kwenye nafasi nzuri ya kumnasa.

ia mnamo 2017 na kuwa Mfaransa mwenye umri wa miaka 17 anaonekana kama mmoja kati ya Wachezaji vijana wenye vipaji Barani Ulaya na anaripotiwa kuvivutia Vilabu Mbalimbali Vikubwa ulimwenguni.
Camavinga, ambaye licha ya Real Madrid kumuwimda kwa nguvu zote, Pia Barcelona, ββManchester City, Bayern Munich, Borussia Dortmund, Manchester United na Atletico Madrid walijiunga pamoja na Real kuwania Saini yake.



Hamidu
Fundi wa mpira
Furahav
Anajua.
Issa
Madrid imchukue tu ili iimarishe safu ya viungo wao
Zeiyana
Yupo vizuri sana itakua vizuri Madrid wakiinasa sain yake