Reece James Hatarajiwi Kurejea Karibuni

Makala iliyopita
Camavinga Kufanyiwa Vipimo LeoMakala ijayo
Di Maria Anaitafua Rekodi ya Ronaldo Uefa
Mchezaji huyo amekua akipitia kipindi kigumu kwani kwa miaka miwili sasa amekua mchezaji wa kuandamwa na majeraha ya mara kwa mara, Ikitokea amerejea uwanjani anachukua muda mchache kucheza na kurejea tena kwenye majeraha jambo ambalo hata yeye mwenyewe amekiri linamuumiza sana.