Rekodi hii ya miaka ya hivi karibuni ambayo inasubiriwa kwa hamu kuvunjwa ni ile iliyowekwa Mei 6, 2012 walipokutana miamba hiyo miwili ya soka nchini. Simba iliibuka na ushindi wa goli 5 kwa bila.
Katika mchezo huo uliokuwa wa kukamilisha ratiba kwani Simba walikuwa wametwaa ubingwa tayari waliweka rekodi ya kuifunga Yanga mabao 5-0 kwa mabao ya Okwi (×2), Sunzu, kipa Juma Kaseja na marehemu fundi Patrick Mafisango.

Kipigo hicho kilikuwa kikubwa kwa Yanga tangu walivyopigwa tena mabao 6-0, Julai 19, 1977, walipokuwa wakilipa kisasi cha kupigwa mabao 5-0 na Yanga kwenye mchezo wao uliochezwa Juni 1, 1968.
TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO
Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!
Leo naona kipigo kinawahusu yanga
Kazi ipo leo lazima kiwake
Na leo simba iko nyumbani…piga utopolo haooo
Yote ni sawa ila huu ni mpira lolote linaweza tokea muwe tayari kwa matokeo
Simba chama lao
Simba ipo moto
Rekodi ya kibabe