Richarlison amesema kuna mabeki bora Duniani zaidi ya Virgil van Dijk na mshambuliaji huyo wa Everton amemkumbushia kuwa ni moja ya wachezaji waliokokota mpira na kumpita.
Liverpool wapo karibu kutwaa ubingwa wa Premier League wikiendi hii, wakati ligi ikirejea pale watakapocheza dhidi ya wapinzani wao wa Merseyside pale Goodison Park Jumapili.
Van Dijk amekuwa mtu muhimu katika mafanikio ya msimu huu kwa Liverpool kwani ameiwezesha timu yake kukaribia kutwaa taji la Premier League
Lakini Richarlison haini kama Mholanzi huyo kuwa ndio bora kwenye nafasi huyo Duniani, nakusema kuwa Thiago Silva, Marquinhos na Sergio Ramos wote ni bora.
Alipoulizwa kuhusu Van Dijk kwenye mahojiano, Richarlison alijibu: ‘Watu wanaongea sana kuhusu yeye, kweli ni beki mzuri, lakini niliwahi kukokota mpira na kumpita.
‘Alichaguliwa kama moja ya watatu bora Duniani, baada ya kuwa na msimu mzuri.
‘Lakini ndio, kwangu hao ndio mabeki bora.’
Alipoambiwa ataje mabeki bora Duniani zaidi ya Van Dijk, Richarlison alisema: ‘Thiago Silva, Marquinhos na Sergio Ramos.’
Sylvester
Naungana na @Richalson,Van ni beki wa kawaida sana sema ameikuta klabu ipo vizuri na Morali ya hali ya juu #meridianbettz
felister
good news
Dorophina
Mchezaji wa kawaida sana huyo
Genia Sikaluzwe
Ahsant meridian kwa taarifa
David Pere
Duuh huyu kweli Ana masihara van djk ni wa kawaida jamaa anatisha sanaa
Hamidu
Kila m2 anamtazamo wake! Ila kwa sasa ndo beki bora next maguire #meridianbettz
Latifa juma mohamed
Ahsante meridianbet kwa taarifa nzur za michezo
Christopher
Richarlson nae kaishiwa maneno, mambo kama hayo inabidi waseme wakina messi au Rinaldo sio yeye mvunja kuni wa everton
Sadick
Ukisikia wivu ndio huu!! Ni wivu tu! Ni wivu tu!#meridianbettz
Njiku
Sio wivu hanauwwzo
Gabriel
Sio wivu uwezo bado wa kawaida sana
warda
Yaani Hapa Richarlison kaonyesha wivu wa wazi wazi kabisa#Meridianbettz
Magdalena
Viwango vyake bado sana hajitahidi tu
Omary lukumbi
Hahaha mtoto wa kibrazil anampa ukwel van dijk asijione yeye bek bora zaid ana pitika tuu sio kwa sabab msimu uliopita walichukua uefa na kuchukua tuzo ila bado sana kiwango chake Richarlison anampa ukweli wala sio wivu
Elika
Wana Liverpool tunamshukuru sana van
Gabriel
Kwa upande wa Ramos nampa big up kwan n baki ambaye ameonyesha maajabu makubwa akiwa Madrid na katika mechi za wachezaji wakubwa kama Messi ameonyesha juhud kuwa hawawezi kupita hivyo richarlion yuko sahihi na takwimu yake na van djik kwel ni wakawaida sana hivyo Hana maajabu sana
Devotha
Huyo ni beki wa kipekee akiwa uwanjani anajua kutimiza majukumu yake
Furahav
Ni kweli beki wa kawaida tu,hayuko vizuri kivile sana.
Neema hassan
Asante kwa makala#meridianbettz
Antony Luseno
Wachezaji ugomvi wao uwa upo uwanjani ila wakiwa nje ya mpira wanaweka utofauti wao mbali
Njiku
Richarlison kaongea kweli maana van djik bado kinda sana na hana uwezo wakuwa beki bora kushinda miamba hii,thiago silva mbrazil mwenye ujuzi wa kukaba,sargio ramos mmbabe wa wababe na kulibali wa napoli hawa wamefanya mengi sanaa juu ya soka lao hivyo huwezi kuwalinganisha na van djik
Khadija
Kwa upande wa Ramos nampa big up ni beki aliyeonyesha maajabu#meridianbettz
Ester jackson
Huu ni mtazamo wake kama ameshaweza kuwapita kwa dk 1 tu anajisifu aeende huko anaweza kujifananisha na naomba hizo atulie tu na Everton yake
Caroline
Van dijk mbona yupo vizuri
Ernest
Van Dijk ni kisiki kweli sema nimependa confidance ya Richarlison nahisi atatekenya nyavu za Liverpool siku hiyo.
Mwanahamisi
Ni mtazamo wake Kila mmoja wetu hua anamtazamo wengi wetu tunaamini van dijik Ni beki bora duniani
Samiah
Dijik ni beki bora sanaaa
Zeiyana
Asante meridianbettz kwa taarifa
Tahiya
Ni beki wa kawaida tyuu sema nini kakuta timu iko moto
Samira
Ahsante Meridianbet kwa taarifa
Saupha mohamed
Mpo vizuri kwa taalifa mzuri..asantenii
Theckla
Hana maajabu yoyote
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli nibeki wakawaida tuu hayupo vizuli sana
Hope mwaikuka
Ni mtazamo tu
Shafii
Van dijik ni beki Bora ulimwenguni katika soka la miguu tunaamini ivyo ila kwa maneno ya kishujaa ya richarlison yamewapa hamasa straker wengine kwamba ni wakawaida kabisa
Amani
kwa sasa ndo beki bora next maguire #meridianbettz
Mwajuma
Beki kisiki
Rehema
Ni beki bomba sn
tumaini
Maoni:habar njema Sana
Neema
Anajipenda kwa maneno, asubirie vitendo ndani ya uwanja. Vvd yuko vzr ELL #meridianbet
Salma
Ni wivu tyu!
Isaya massawe
Van ni beki mzuri sana
Evaluziga
Hana uwezo
Asia Abdy
Mi simuelewagi kiukwel
Mwanaidi
Sawa ni wakawaida ila uwanjani anafanya vizuri sana
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
Povel
Siwez mpingah maono yake hayo
isha
Hana jipya uyo
Theonestina
Ni wakawaida lkn Yuko njema uwanjani
farida ahmadi
Huo ni ubinafsi tyuu mbn van dijik Yuko vzr pia ni beki bora sana
Frank Patrick
Wana Liverpool tuseme sawaa kwan yeye tunamjua?
Fatuma kasomo
Kawaida uwanjani anafanya vizur
Emmy cleopa
Ni beki mzur tu
Tatu
Habari nzuri