Nyota wa Bayern Munich Robert Lewandowski ashinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu Bundesliga.
Msimu huu umekuwa na changamoto kwa klabu nyingi. Lakini Lewandowski amekuwa mchezaji wa kwanza kuona nyavu katika mechi 11 mfululizo za Bundesliga.
Nyota huyu kaona nyavu za kila timu ambayo inashiriki Bundesliga msimu huu, huku siku ya mechi ya 29 akiifunga Fortuna Dusseldorf kwa mara ya kwanza.
Akiwa amefikisha jumla ya magoli 33 ya Ligi ya Bundesliga anakuwa mchezaji anayeongoza kwa kucheka na nyavu. Hii inakuwa ni mara ya 4 kuongoza katika msimu mitano.
Winga wa Borrusia Dortmund, Jadon Sancho anachukua nafasi ya 2. Nyota Kai Havertz wa Bayer Leverkusen yeye amechukua nafasi ya tatu katika maamuzi ambayo yalishirikisha wadau na mashabiki.
Wachezaji wengine waliokuwa wanawania tuzo hii ni pamoja na Timo Werner, Amine Harit, Erling Haaland na Serge Gnabry. Lewandowski alifanikiwa kuondoka na asilimia 50 ya kura.
Unapenda kucheza Kasino ya Mtandaoni? Furahia Kasino ya Mtandaoni na Meridianbet
View this post on Instagram
Elika
Habari njema hiyo
Theckla
Lewandowski yuko vizuri
Sadick
Natabiri Lewandowski kuchukua Ballon D’or msimu huu#meridianbettz
Dickson
Anaweza kufanya vyema na kuwa orodha ya wale bora zaidi, ushindani ni mkubwa!
isha
Hongera sana lewandowski kwa kuchukua tunzo ya uchezaji bora wa bundesliga
lombo
gud news mambo ni moto
Ernest
Salute kwa Lewandowski, huyu jamaa anazeeka na makali yake.
Rehema
Asante meridianbet kwa habari moto
Jullie
Jamaa anastahili yuko vizuri
Antony Luseno
Hongera kwa mpoland huyu kufanya vyema katika ligi ya bundesliga
Caroline
Hongera Robert Lewandowski.u deserve
warda
Anastail kwa kweli sio kwa juhudi zile#Meridianbettz
Genia Sikaluzwe
Ahsant meridian kwa taarifa njema
Leonard
Anastahili
Angelina
Yuko fiti sana huyu mjamaa
Magdalena
Pongezi nyingi kwake
Dorophina
Habari njema hongera kwake
Povel
Hongera kwake
Hope mwaikuka
Hongera kwake
felister
good news
Issa
Ulikuwa ni msimu mzuri kwake sana amekuwa na wastani mzuri sana wa magoli anapaswa kupewa tuzo
Lydia Emmanuel Magoti
Saluti kwa Robert Lewando huyu jamaha ana zeeka na kipaji chake
Khadija
Hongera kwake#meridianbettz
Frank Patrick
Amestahili
Mwajuma
Amepambana sana hivyo anastahili hilo
Devotha
Habari nzuri
Furahav
Huyu kijana jeshi.
Gabriel
Robert lewandowski anastahil kupewa heshima hiyo ya mchezaji bora maana yuko vzur sana 👍
# meridianbet Tanzania
Hamidu
Robart lewandosk amestahilkuwa mchezaji Bora .kwasababu uwezo anao.siku zote anajituma Sana #meridianbettz
Amiri Kayera
Striker hatar sana tukimpata man u huyu vikombe tu
neema hassan
Mchezaji mahiri anastahili..
Ester jackson
Good news meridianbettz
Theckla
Asante kwa kunijuza
Njiku
Hakuna kama yeye kwa ligi ya Ujerumani ni mtaalam wa kucheka na nyavu wote tunajua kazi yake utake usitake atajifungua tu maana mchizi yupo poa sana,kupewa mchezaji bora wasimu na bado atachukua mfungaji bora wa ligi ya Ujerumani Dah jamaa yupo poa sana
Edgar
pongezi kwake aNASTAHILI
Tahiya
Hakika anastahili ilo
Omary lukumbi
R.lewandowski alistahili kua mchezaj bora wa msimu kwenye ligi ya ujeruman
mwakalosi
huyu atachukua mpaka atapoacha soka huko ujerumani
David Pere
Kwa upande wangu Mimi Robert akomba kila tuzo ulaya na duniani kwa ujumla
Salma
Anastahili ilo hongera kwake
Ester mmakasa
Asante kwa makala nzuri.
Latifa juma mohamed
Makala poa
Evaluziga
Uyu jamaa anastaili Yuko vizuri
Theonestina
Anastaili
Fatuma kasomo
Huyu jamaa anazeeka na makili yake
Zeiyana
Robert lewandowski hanastaili pongezi yupo vizuri sana
Sabrina
Maoni:kijana yupo vizur
Shafii
Robert lewandoski anastahili ni mpambanaji Sana
Christopher
Hilo lilijulikana mapema tu
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa
Tatu
Safi sana