Klabu ya Roma imeripotiwa kuwa imeunga tela kuisaka saini ya mshambuliaji wa Cagliari Joao Pedro.
Nyota huyu Mbrazili ameweza kupeta zaidi baada ya kutokuwepo kwa Leonardo Pavolletti msimu huu na amezivutia klabu nyingi kutokana na utendaji wake kwenye nusu ya msimu wa Serie A 2019/20.
Staa huyu mwenye miaka 28 amecheka na nyavu mara 16 kwenye ligi. Klabu kadhaa, kwa mujibu wa Corrie dello Sport, zinajaribu kuinasa saini yake.
Klabu ya Chelsea pia kutoka Primia, wanatajwa kuwepo kwenye sandakalawe ya kumpata staa huyu. Klabu zingine zinazomfukuzia ni Atalanta, Bologna, Fiorentina, na Torino
Mkataba wa sasa wa Pedro unaisha Juni 2023. Wakati huo Cagliari wanasemekana kuwa wanapania kupambana staa huyu asiende popote.
Isaya massawe
Kijana hatar sana huyu
Tahiya
Yuko vizur watu wapande madau
Zeiyana iddi
Mchezaji mzuri
SADICK
Kwa umri wa 28 ana muda mfupi wa kucheza soka, sidhani kama kuna Club yenye mipango endelevu inangβangβania sana mchezaji mzee #Meridianbettz
Emmy cleopa
Ahsanteni meridian kwa taarifa
Gabriel
Good news π#meridianbettz
David pere
Ni mxhezaji mzuri Ndio maana nao wanamfukuzia
mwakalosi
ni mchezaji mzur itakuwa deal zuri kwa roma
Lombo
habar mzur
Furahav
Yuko vizuri kijana.
Rehema
Ni mchezaji mzuri sn
Mwanahamisi
Ni mchezaji mzuri sana
Antony Luseno
Thanks for the update #meridianbettz
Ester
Good news
Magdalena
Pedro yupo vizuri Sana
Amani
Kwa umri wa 28 ana muda mfupi wa kucheza soka, sidhani kama kuna Club yenye mipango endelevu inangβangβania Bora asalie kweny timu yake #meridianbettz
dorophina
Ni mchezaji mzuri sana
Salma
Wapambane wampate
Povel
Ni habar njema kwake kila la kheri Kama atafanikiwah thanks meridian kwa update
Frank Patrick
Sidhani kama atakuwa na moyo wa kubaki Cagriali kama ikitokea team kama chelsea ikimuwekea mkazo wa kumuhitaji
Salma
Wapambane wampate
Neema juma
Kijanaa makini sana
Hamidu
Ni mshambuliaji mzuri .. # meridianbettz.
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo vizuri kijana anajua
Theonestina
Kijana Yuko poa Sana
Kenani
Safi sana
Khadija
Mchezaji mzr sana#meridianbettz
Mwajuma
Roma wakifanikiwa kumpata itakuwa poa sana
aisha
Mchezaji mzuri wakimpata itakua bombaa
Hidaya Mohammed
Yupo vizuri
Ernest
Jamaaa anapiga kazi sio kitoto
Ester mmakasa
Wamtafute wa umri mdogo kwasababu ana mda mchache ukilinganisha na umri wake tayari umeshaenda.
felister
ni mchezaji mzuri itakua bomba Roma wakimpata
Nasra
Wamchukue tu yuko vzuri
Samiah
Mchezaji mzri
Rehema Dickson
Jamaa Yuko vizuri
Samira
Taarifa nzuri ahsanteni meridianbet
Agness
Yuko vizuri
Hope mwaikuka
Ni mtu poa