Cristiano Ronaldo ameelekeza ushindi wa Juventus wa taji la Serie A kwa mashabiki wa klabu hiyo, hili ni taji la tisa mfululizo kwa Juventus.
Ronaldo alifunga goli moja katika gemu dhidi ya Sampodoria ambayo iliwahakikishia ushindi wa taji wakiwa na mechi mbili zilizosalia. Mechi hii waliyoshinda bao 2-0, CR7 alikosa penati kabla ya Federico Bernardeschi kucheka na nyabu kukamilisha goli mbili wakiibuka kidedea kama mabingwa wa Italia.
Juventus wanaendelea kutawala ligi ya Italia, huku Ronaldo akitaja kuwa anafurahia kuwa sehemu ya safari hii ya mabingwa wakati juventus wakiendelea kujijengea historia ya ushindi na utawala wa ligi Italia.
CR7 ambaye sasa amefikisha magoli 35 kwa klabu ya Juventus, aliamua kutoa heshima ya taji hili kwa mashabiki wa Juventus
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ronaldo aliandika;
“Imeisha hiyo! Mabingwa wa Italia,”
“Kwa mara nyingine tena ushindi wa pili mfululizo na kuendelea kujenga historia ya timu kubwa na bora.
“Taji hili linaelekezwa kwa mashabiki wa Juve wote, hasa wale waliokumbana na walioathirika na wanaoathirika na changamoto ya janga lililokuja kwetu kama ghafla na kuubadilisha ulimwengu”
Ronaldo anasisitiza kuwa haikuwa rahisi kupambana hasa kutokana na mabadiliko ya ghafla, ilihitaji nguvu na ujasiri wa hali ya juu na anafurahi kuwa wanafika mwisho na taji hilo ni mali ya wana Italia wote.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
Ernest
Juhudi Binafsi za CR7 na mchango wa wachezaji wengine wameifanya Juventus kunyakua ubingwa na kuendeleza kuweka Historia, Bravo Juventus!!!
Khadija
Safi sana Cr7kwa juhudi zako#meridianbettz
Magdalena
Umesema vyema CR7
felister
pongezi ziwafikie wote bila kusahau mashabiki wa juve na Ronald pia
Ester jackson
Safii sana Ronaldo huo ndio ubinadamu ukipata kula na wezako umeonyesha kuwa mpo pamoja hata kama mlipitia magumu katika kipindi cha corona bado mlipambana kwa pamoja kupata ubigwa huu inawafanya mashabiki watambue kuwa bado mnaimani nao hata kama wapo uwanjani wachache wanao wakilisha wengine kwenye safari ya ubigwa mko pamoja nao wote mashabiki ## meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana kwajudi zako Cr7
Fatina mfingi
Uko vizur cr7
Mwanahamisi
Hongera sana cr7
Sadick
Waitaliano huamini mchezaji anapokuwa na umri kuanzia miaka 28 anakuwa bora zaidi. Jambo la kufurahisha ktk umri wa miaka 35 anakuwa mfungaji bora. Kikosi cha Juventus kinahitaji kuongezewa nguvu kuendeleza utawala wake SERIE A na Ulaya kwa ujumla#meridianbettz
Theckla
Hongera Sana Ronaldo na club nzima ya Juventus
Tatu
Hongera cr7 kazi nzuri umefanya
aisha
Hongera sana Ronaldo na club nzima na pia pongezi nyingi ziwafikie huko mliko
Salma ngende
Pongezi kwake na team yake
mwajumah
Namkubali sana cr7 anajua sana#Meridianbettz
devotha
hongera sana CR7
jullie
Hongera sana CR7
Neema juma
Pongezi kwake Ronaldo
Gabriel
Safi
Adelta
Safi sana Ronald
lombo
Cr7 jesh namkubali sana
Genia Sikaluzwe
Pongezi kwa CR7
Asia Abdy
Safi sana
Furahav
Hongera CR7.
Hope mwaikuka
That’s why I like CR7
Issa
Ni noma sana
Povel
Hongera kwao
Amiri Kayera
Congoree cr7
Shafii
Safi Sana.
sabrina
Cr7 ni nomaaa
JULIANA
Hongera sana
Tahiya
Christian Ronaldo ni mchezaji mwenye kujitoa sana kwa timu na mashabiki wake
Aziza mushi
Hongera Sana Ronaldo.
caroline
safi sana ronaldo
warda
Mnyama CR7#Meridianbettz
Rose kapinga
Heshima iyo ronaldo
Zeiyana
Ni jambo la heshima kwa mashabiki kutambua mchango wao clubuni hapo.
Omary lukumbi
Safi sana cr7 mnyama
Dorophina
Ongera sana cr 7 maana bila mashabiki we si kitu
Janeflora malisa
Nice
David Pere
Ni vizuri sanaa