Ronaldo Aendeleza Rekodi Juventus.


 

Mshambuliaji wa Ureno na Klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo ameendeleza rekodi katika klabu alizowahi kucheza katika maisha yake ya soka.

 

Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya mchezo wa mpira wa miguu kufunga magoli 100+ akiwa na vilabu vitatu tofauti, na katika nchi tatu tofauti na pia kufunga zaidi ya mabao hayo katika timu ya taifa.

🇮🇹 Juventus: 100
🇪🇸 Real Madrid: 450
🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man Utd: 118

🇵🇹 Portugal: 103


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

12 Komentara

    Jamaa hatali sana huyu

    Jibu

    Ni balaa

    Jibu

    Cr7 mnyama yupo vizuri

    Jibu

    Cr7 yupo vizuri

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Cr7 ni moto wa kuotea mbali

    Jibu

    Yuko vizuri.

    Jibu

    Kijana Yuko makini Sana uwanjani

    Jibu

    Rekodi ya kibabe

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safii

    Jibu

Acha ujumbe