Mshambuliaji wa Ureno na Klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo ameendeleza rekodi katika klabu alizowahi kucheza katika maisha yake ya soka.
Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya mchezo wa mpira wa miguu kufunga magoli 100+ akiwa na vilabu vitatu tofauti, na katika nchi tatu tofauti na pia kufunga zaidi ya mabao hayo katika timu ya taifa.
🇮🇹 Juventus: 100
🇪🇸 Real Madrid: 450
🏴 Man Utd: 118
🇵🇹 Portugal: 103
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
aisha
Jamaa hatali sana huyu
Magdalena
Ni balaa
dorophina
Cr7 mnyama yupo vizuri
Lydia Emmanuel Magoti
Cr7 yupo vizuri
Mariam mtandama
Duuuh
Sania mapua
Cr7 ni moto wa kuotea mbali
Furahav
Yuko vizuri.
Adelta
Kijana Yuko makini Sana uwanjani
Sauda
Rekodi ya kibabe
Angelina
Safi
Saupha
Safi
Sarah
Safii