Nyumba inayomilikiwa na Cristiano Ronaldo, 35, mjini Madeira, Ureno lilivamiwa na mhalifu aliyeiba bidhaa za thamani isiyojulikana usiku wa Oktoba 7, 2020.
Nyumba hiyo ilivamiwa na kuibiwa wakati Mchezaji huyo alipokuwa ameelekea kukitumukia kikosi cha timu ya taifa katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Uhispania.
Mchumba wa Ronaldo, Georgina Rodriguez, hakuwepo katika mjengo huo wenye thamani ya £7 milioni kwa sababu alikuwa akishiriki hafla ya uanamitindo na fasheni jijini Paris, Ufaransa.
Kwa mujibu wa gazeti la Diario de Noticias Madeira, watoto wa Ronaldo walikuwa wameachwa chini ya uangalizi wa mama yake, Dolores Aveiro.
Dolores, 65, anaishi na wanawe wengine watatu – Elma, Katia na Hugo katika mtaa wa kifahari wa Funchal, mbali kidogo na eneo la Madeira.
Kati ya bidhaa za Ronaldo zilizoibiwa ni jezi za kikosi cha Juventus inayoshiriki soka ya Ligi Kuu ya Italia (Serie A).
Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!
magdalena
hao wezi wakikamatwa wanabidi wawajibishwa sana
Tatu
Pole Sana Ronaldo wezi si watu wazuri
Zeiyana
Hinakuaje star kama Ronaldo hasiwe na walizi kwenye nyumba yake hata camera pia
Lydia Emmanuel Magoti
Wezi Awana mahana mtu Kama Ronaldo jina kubwa kwanini asiwe nabodi gadi kwann wakati pesa
Rose kapinga
Ulinzi mdogo
Sauda
Ulinzi uimarishwe jamani
Adelta
Pole Sana Ronald inabidi kuongeza ulinzi
Caroline
Wezi sio watu wazuri
Nasra
Ulinzi hauko makini
Janeflora malisa
Ulinz c mzr
Dorophina
Pole yake ronaldo jumba kubwa kama hilo unakosekanaje ulinzi wa uhakika
Mwajumah
Duuh majanga ayo pole sana Ronaldo
felister
ina maana walinzi hawakuwepo…?
Fatina mfingi
Walinz una kwani ronald
Shani
Ni shida sana
Ernest
Watu wanapambana na hali zao
Venerose
Mbona majanga
Samira
Pole Cr7
Mwanahamisi
Ni shida sana
Saupha mohamed
Duuu nomaaa
Samiah
Majanga hayo
Angelina
Atanunua vingine pesa ipo
lombo
hatar
Fatuma kasomo
Mlinzi uimarishwe
Neema
Pole sana Ronaldo
Issa
Cr 7 dah vibaka wameharibu tena
Povel
Duh majanga kwl
Hopemwaikuka
Ndo maana wanauliwa tu
David Pere
Hinakuaje star kama Ronaldo hasiwe na walizi kwenye nyumba yake hata camera pia
Rehema
Hatari
Sabrina
Duuh pole sana Ronaldo wamekuvizia
aisha
Duuh wamemwinia super ster shuhuli wanayo wakikamatwa
Amiri Kayera
Acha nao wajipooze bn
latifa juma mohamed
Pole yake
Gabriel
MUNGU atamlipa asijal
warda
Duuu sio poa