Leo Siku 10 za Ronaldo kukaa karantini zinaisha na atafanyiwa vipimo kwa mara nyingine tena (3).
Vipimo vilivyotoka wiki iliyopita aliyopima kwa mara ya pili vilimfanya Ronaldo kukosa mchezo wa kwanza wa makundi wa UCL baada ya kukutwa na maambukizi ya Covid-19.
Endapo atapatikana na maambukizi ya Covid-19 kwa mara nyingine tena ataukosa mtanange wa UCL dhidi ya Barcelona utakaopigwa wiki ijayo mjini Turin.
Matumaini pekee yaliyobakia kwa Juventus ni kuomba kuwa Ronaldo akutwe bila maambukizi masaa 24 kabla ya mchezo huo ili aweze kuruhusiwa kucheza.
Kukidhi vigezo vya kucheza mchezo wa UCL dhidi ya Barcelona, itabidi athibitike kuwa amepona Corona katika muda wa masaa 24 kabla ya Mechi.
Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.
Adelta
Jamaniiiii ! Ngoja tusubiri tuone majibu
magdalena
mungu amtetee awe tu salama maana huu ugonjwa umekuwa tishio sana
zeiyana
ni vizuri haangaliwe afya yake kwa umakini ili hiwe tahazari kwa wachezaji wenziwe asichukuliwe kama star tu maana huu ugonjwa ni hatari vigezo na mashart vizingatiwe
zeiyana
ni vizuri angeangaliwa afya yake kwa humakini ili hiwe taadhari kwa wachezaji wenziwe asichukuliwe kama star tu iligonjwa ni hatari sana
Elika
Dah pole sana ronaldo
Dorophina
Mungu amsaidie aweze kurudi dimbani kwenye mechi dhidi ya barca
Khadija
Pole sana Ronaldo
Lydia Emmanuel Magoti
Duu sio poa pole yake
Caroline
Mungu amsaidie akutwe Negative ili akashiriki na wenzie katikat mchezo unaofuata
Tatu
Mungu atamsaidia atarejea kwenye nafasi yake
Fatuma kasomo
Duh pole sana
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet
Mwajumah
Duuh majanga ayo ila pole sana cr7
Hopemwaikuka
Atakua sawa tu na atakipga kama kawa
Gabriel
Pengo kubwa sana
Juliana Alex
Pole kijana
Issa
Ni her kwa barcelona
Povel
Pengo kubwa sana kwa juventus Kama hatakosa mchezo huo
Warda
Itakuwa sio poa jamani
Saupha mohamed
Pole sana kijana
Sabrina
Pole sana Ronaldo
Latifa juma mohamed
Pole yake cr7 huu covid 19 imekuwa tishio baya duniani ,pengo kubwa kwa Juventus endapo atakosa mchezo furaha kwa Barca nadhan wanamhofia Sana cr7.
Sauda
Pengo lisilozibika
felister
mwenyezi mungu atampa taafifu
Fatina mfigi
Duuh pole
aisha
Pole sana star wa mpira