Cristiano Ronaldo wa Juventus ndiye mfungaji bora kwenye ligi kubwa barani Ulaya kwa mwaka 2020.
Cristiano amekuwa mfungaji bora wa ligi huku akiwa na magoli 33 ya Serie A, lakini Robert Lewandowski ana magoli 45 katika mashindano yote huku Ronaldo akiwa na magoli 41.
Washambuliaji hao wote wa Ureno na Poland kwenye michezo ya wikiendi walitupia goli 2 kila mmoja.
Cr7 ana magoli 33 katika mwaka 2020 ikiwa ni goli 1 zaidi ya Lewandowski ambaye hatoweza kumkuta kwa sababu hana mchezo mwingine wowote kwa mwaka huu wa 2020 huku Juventus ikicheza Fiorentina Jumanne kabla ya likizo ya Krismasi.
Cs Cartagines’ Marcel Hernandez ana magoli 30 hivyo anashika nafasi ya 3 kwa mwaka 2020. Ciro Immobile wa Lazio anashika nafasi ya 7 akiwa na magoli 26.
Ronaldo ni wa pili nyuma ya Robert Lewandowski kwa magoli katika mashindano yote mwaka huu lakini nyota huyo wa Poland ana magoli 45 huku Ronaldo ana 41 na nafasi ya 3 inashikiliwa na mshambuliaji wa Inter Milan, Romelu Lukaku mwenye magoli 34, goli moja zaidi ya mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Erling Haaland.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???
Issa
Cr moto sana
samiah
Yupo juu Cr
Saupha mohamed
Ronaldo mtu mbaya
Shakila mrope
Ongera san Ronaldo
Flomena
Hongera kwake
Sarah
Ronaldo mtu makini
Caroline
Ronaldo is the best..
Dorophina
Mnyama Cr7 amestahili kupata hiyo tunzo
Hopemwaikuka
Congrats to u
Adelta
Ronald Yuko vizuri
aisha
Big up
Asia Abdy
He dissolve
Lydia Emmanuel Magoti
Hongera yake Ronaldo
David Pere
Washambuliaji hao wote wa Ureno na Poland kwenye michezo ya wikiendi walitupia goli 2 kila mmoja.
farida ahmad
Pongezi sana kwake
Tatu
Ronaldo mtu mbaya
warda
Hongera yake
Chiku
Ronaldo hanaga show mbovu