Rooney Aitaka Kazi ya Derby.

 


Mchezaji wa zamani wa Manchester United na Kocha wa muda wa Derby County, Wayne Rooney anamatumaini kupata nafasi ya kuwa kocha mkuu wa Derby moja kwa moja.

Tetesi za hivi karibuni zinasema timu hiyo ilikuwa inamfwatilia mchezaji mweza wa zamani wa England John Terry kutua uwanjani Pride Park.

 

Rooney ambaye alijiunga na timu hiyo mapema msimu huu kama kocha mchezaji akitokea DC united, amechukua nafasi ya kukinoa kikosi hicho kwa muda baada ya kocha mkuu Phillip Cocu kufukuzwa mwezi uliopita.

Wayne amefanikiwa kukiongoza kikosi hicho katika michezo 4 na kufanikiwa kutoka sare katika michezo 2 na kupoteza 2 huku timu hiyo ikishika mkia katika Ligi ya Championship.


FURAHIA MUZIKI MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

INGIA MCHEZONI

23 Komentara

    Ongera san ronney mungu akusimamie

    Jibu

    Ongera sana

    Jibu

    Timu nyingi zinaajiri wachezaji waliostaafu hivi karibuni kuwa makocha,ni kizazi kipya na mbinu mpya. Bado hana CV nzuri kuwa Kocha wa kudumu

    Jibu

    ongera sana

    Jibu

    Bado hajawa makini

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Anawezaaa

    Jibu

    Derby impe kaz rooney

    Jibu

    Apambane atafanikiwa

    Jibu

    Saf

    Jibu

    Akijitahidi kufanya vizuri atafikia malengo anayoyataka

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Rooney nae atulie

    Jibu

    Rooney atulie nae

    Jibu

    hongera

    Jibu

    Akiongeza juhudi atafanikiwa

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Fresh tuu

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Hongera sana

    Jibu

    Apewe kwa kweli itamfaa

    Jibu

Acha ujumbe