Mchezaji wa zamani wa Manchester United na Kocha wa muda wa Derby County, Wayne Rooney anamatumaini kupata nafasi ya kuwa kocha mkuu wa Derby moja kwa moja.
Tetesi za hivi karibuni zinasema timu hiyo ilikuwa inamfwatilia mchezaji mweza wa zamani wa England John Terry kutua uwanjani Pride Park.

Rooney ambaye alijiunga na timu hiyo mapema msimu huu kama kocha mchezaji akitokea DC united, amechukua nafasi ya kukinoa kikosi hicho kwa muda baada ya kocha mkuu Phillip Cocu kufukuzwa mwezi uliopita.
Wayne amefanikiwa kukiongoza kikosi hicho katika michezo 4 na kufanikiwa kutoka sare katika michezo 2 na kupoteza 2 huku timu hiyo ikishika mkia katika Ligi ya Championship.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!




Shakila mrope
Ongera san ronney mungu akusimamie
Sarah
Ongera sana
Sadick
Timu nyingi zinaajiri wachezaji waliostaafu hivi karibuni kuwa makocha,ni kizazi kipya na mbinu mpya. Bado hana CV nzuri kuwa Kocha wa kudumu
Khadija
ongera sana
Adelta
Bado hajawa makini
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri
Caroline
Anawezaaa
Issa
Derby impe kaz rooney
Neema
Apambane atafanikiwa
lombo
Saf
Dorophina
Akijitahidi kufanya vizuri atafikia malengo anayoyataka
Latifa juma mohamed
Safii
Saupha mohamed
Safi
Magdalena
Rooney nae atulie
samiah
Rooney atulie nae
felister
hongera
Sauda
Akiongeza juhudi atafanikiwa
Tatu
Safi sana
Sabrina
Fresh tuu
Janeflora malisa
Safi
[email protected]
Mbona pwh tu
aisha
Hongera sana
warda
Apewe kwa kweli itamfaa