Kama tungalikuwa kwenye karne ya 19 ningelichukua koti la mwanaharakati Martin Luther King na kumvisha Saidi mwana wa Ndemla.
Martin Luther king aliipigania haki za waafrika pamoja na kuendesha harakati za BACK TO AFRICA MOVEMENT. Tangu hapo akawa Engine na kiongozi wa watu weusi walionyanyaswa na kudharaulika kule Marekani.
Nimemshuhudia mtoto wa mzee Khamis akilitawala dimba la Mkapa kwenye usiku wa raha kwake. Nimeona mabadiliko makubwa sana kwake. Hapo awali nilishapoteza imani juu ya upigaji wake wa mashuti.
Nikasema kwenye kila mashuti 10 atakayopiga Saidi basi ni moja ndio litakua na madhara, sasa saidi amenidhihirishia hili. Amebadilika sana kwenye upigaji wa mashuti. Kwenye mashuti matano aliyopiga leo matatu yalikua na madhara.
Kadhalika Ndemla ameiprove kwenye pressing yake. Kipindi ambacho watu walimpigia kelele aondoke Simba ili akapate namba sehemu nyingne. Yeye akawaza kuwa yupo sehemu salama , akaigeuza Simba kuwa chuo cha soka kwake na sasa ameshagraduate. Huyo ndio Saidi bwanaaaa..
Ameimarika kwenye dribbling, accuracy na kuhold timu hata akiwa peke yake. Kuna mtihani anaupata Sven juu ya nani aanze na nani akae benchi kila anapoangalia viungo wake.
Pia leo nimemuona David Kameta DUCHU. Yupo vizuri ila krosi zake hazina madhara kabisa. Anahitaji kurudi kwa Kapombe na kupata somo la ziada juu ya upigaji wa krosi, krosi zake ziliishia kwenye ukuta wa mabeki wa maji maji.
Larry bwalya was on 🔥🔥. Ila nilifaidi sana kuiona pasi zake kuliko mikimbio yake. Hapa Tanzania kuna Luis Miquissone mmoja tu, Na leo amelithibitisha hilo.
Naamini Saidi Ndemla ni mwanaharakati aliyevumilia machungu ya benchi na leo anakua shujaa wa mchezo.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?
Angelina
Ndemla yuko zivuri sana namkubali
Ernest Kimeru
Bado ngoja tuone uwezo wake kwenye mechi nyingine kwanza
Chiku
Ndemla jeshi
Hopemwaikuka
Anajitahd
Issa
Ni makin sana
Adelta
Tunasubiri tuone na mechi nyingine
Rahmal
Yuko vizuli
Shakila mrope
Ndemla anatisha
Neema juma
Aongeze juhudi zaidi
Dorophina
Ndemla yupo vizuri
Saupha mohamed
Jamaa anajua
Lydia Emmanuel Magoti
Dogo anajua huyo anamashuti ya mwendo kasi
Fatina mfingi
Ndemla yuko vizur
Mwanahamisi
Ni Makini sana
Asia Abdy
Namkubalii
warda
Mambo mazuri hayatakagi haraka
Tatu
Ndemla yupo vizuri
Sarah
Jamaa Yuko poa
Zahara omary
JAmaa yupo vizur
Sania
Ndemla ni mvumilivu sana