Kinda wa Arsenal, Bukayo Saka amesaini mkataba wa muda mrefu na klabu hiyo ya Premier League.
Saka, 19, aliingia kwenye kikosi cha kwanza cha Arsenal msimu na kucheza mechi 33.
Kinda huyo wa Uingereza mkataba wake wa awali ulikuwa unamalizika majira ya kiangazi na kulikuwa na tetesi kwamba angeondoka.
Saka aliandika katika mtandao wake wa Twitter: “Arsenal ni timu yangu. Ni furaha kutangaza kuongeza mkataba wangu.”
Mkurugenzi wa Ufundi wa Arsenal, Edu amesema: “Hii ni muhimu kwetu tunavyoendelea kupambana kama klabu.
“Hiki kitu kila mtu aliyehusika alitaka kitokee na tunafuraha kuwa Bukayo amesaini mkataba wa muda mrefu.”
Saka, ni zao la akademi ya Arsenal na amefunga magilo matatu na kusaidia mengine 10 msimu huu.
David Pere
Huyu dogo atawasaidia Sana sababu anjua anachokifanya akiwa uwanza,Namkubali Sana
neema hassan
Habari njema kwa mashabk wa arsenal
Theckla
Atafanya mabadiliko makubwa sana
Fatuma kasomo
Dogo upo vizuri
Magdalena
Pongezi nyingi kwake
Angelina
Goodnews kwa mashabiki wa arsenal
warda
Huyu Saka Sijamfatilia sana ngoja Msimu mpya nitamcheck#Meridianbettz
isha
Sio mbaya anaweza kuja kufanya mabadili
Genia Sikaluzwe
Huyo saka yuko vizuri Sana kwenye mpira
Dorophina
Saka yuko poa sana Ni vizuri kumsajili haendelee kutoa msaada katika timu yak
Khadija
Pongezi kwake#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Asantee meridian kwatarifa nzuri
Ester jackson
Ni jambo jema kuendelea na mkataba hapo arsenal mana yupo na umuhimu hiki kitu tulikuwa tunataka kitokee na tunafuraha kumuona Bukayo amesaini mkataba wa muda mrefu bado nikiungo anae tegemewa sana katika timu ya arsenal
Samira
Pongezi nyingi kwake na azidi kuitendea timu yake miujiza ya magoli mengi
Winfrida
Hongera saka
lombo
gud news
Caroline
Hongera kwake
Mariam mtandama
Habari mjema
Johnmary joel
Nimchezaji mzuri#meridianbett
Gabriel
Hii ni habar njema sana kwa mashabiki wa arsenal kuona BUKAYO Saka, nyota wa timu ya Arsena kuwa anafurahi kuongeza mkataba ndani ya klabu hiyo kwa kuwa ni nyumbani na anapenda kuendelea kubaki hapo.
Habar njema kuwa Arsenal wamempa dili refu nyota huyo huku miaka aliyoongeza ikiwekwa kibindoni ili abaki ndani ya kikosi hicho.
Nyota huyo mwenye miaka 19 yupo tayari kuendelea kukipiga ndani ya kikosi hicho kilicho chini ya Kocha Mkuu Mikel Arteta Ni Jambo zur sana 👍 kwetu mashabiki
Kabla ya kuongeza dili jipya nyota huyo alikuwa anawindwa na Liverpool, Manchester United pamoja na Bayern Munich Arteta amesema kila siku nyota huyo amekuwa bora kila wakati ndani ya Uwanja hiyo basi kuendelea kwake ni Jambo jema sana kwetu mashabiki
# Arsenal jeshiiiiiiiiii
Rehema
Pongezi nyiny sana
Hope mwaikuka
Yuko vzur
Devotha
Ni mchezaji mzuri ataisaidia sana timu yake katika mafanikio
Revina
Saka pamoja kuwa mchezaji wa timu ya Asernal pia na timu anaipenda na ni mchezaji anaependa kujituma akiwa uwanjani ,anafurahia na kujisikia yupo kwenye timu anayoipenda
Frank Patrick
team yeyote inayoamini katika kunyanyua vijana huwa naiombea mema sana
Povel
Habar njema kwa gunner
Njiku
Safii sana saka kwa kuamua kubaki na Gunnar na kuendelea kujiakikishia namba kwenye kikosi hicho Cha arsenal ambacho akifanyi vizuri kwa msimu huu na licha ya mastaa kadhaa wakitaka kutoka kwenye klabu lakini saka yeye hajali na kutia sahihi na kuendelea kuitumikia klabu hiyo na anatakiwa kafanya arsenal ishinde ili miti iendelee kupandwa pale amazon
Furahav
Hongera saka.
Sabrina
Maoni:safi sana saka
Saupha mohamed
Jamaaa yupo vizuri
Shafii
Safi Sana pambana saka
Amiri Kayera
Mchezaj mdog na bado atakuepo Zaid na anaitaj Zaid kujifunza saf san
Evaluziga
Good news
Salma
Atafanya mabadiliko makubwa sana
mwakalosi
hiyo timu ya watoto arteta inabidi arudishe zama za ex boss wake wenger tu
Omary lukumbi
Hongera yake bukayo saka kuendelea kubaki kwenye viwanja vya Emirates na habar njema kwa mashabiki wa arsenal kuendelea kumuona saka akiwa na jezi ya arsenal
Mwajuma
Habari njema kwa arsenal
Asia Abdy
Ana msaada mkubwa atawafaa sana
Hamidu
Asante kwa taarifa#meridianbettz
felister
huyu dogo atawasaidia sana sababu anajua nini anachofanya