Mwezi Aprili mwaka 2019, kipa wa Crystal Palace, Wayne Hennessy, alisamehewa mashitaka yake baada ya kusema hakujua alichokua anakifanya kama ni kosa.
Kipa huyo aliinua mkono wake na kuunyoosha kwa ishara ya saluti za wanazi,walizotumia wakati wa utawala wa Adolf Hitler nchini Ujerumani.
Ishara kama hiyo ni kosa kubwa nchini Uingereza na Ulaya kwa ujumla.
Hennessey alisema “Sijui chochote kuhusu Nazi Salute ndiyo kwanza nasikia katoka kwa walionishtaki”.
Kwa utetezi huo, akaachiwa huru.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?
Adelta
Amefanya vizuri
Chiku
Hana baya yote mema
Caroline
Duhh huo ni upendeleo
Sania
Amejitetea vizur
Dorophina
Sio mbaya haki imetendeka ipasavyo kama alikuwa hajui
Magdalena
Safi sana
Mwanahamisi
Sio mbaya sheria imefata mkondo
Ernest Kimeru
Duuuh noumer kweli
Hopemwaikuka
Mjanja sana
Neema juma
Kajitetea vyema
Lydia Emmanuel Magoti
Duuu sio poa hii
Angelina
Niceupdate
Sarah
Kajitetea vizuri
Sabrina
Duuh ni nouma
felister
kajitetea vizuri
warda
Hakujua jamani
Emmanuel dalaya
Meridioan mpo vema kwa burudan
Janeflora malisa
Safi