Sanchez ndio habari ya mjini, kauli ya mashabiki wa Klabu ya Inter Milan baada ya siku ya Jumatatu Mchezaji huyo kuonyesha mchezo mzuri dhidi ya Torino.
Mchezo huo uliotamatika kwa Inter Milan kuibuka na Ushindi wa GoliΒ 3-1, Lautaro Martinez alifanikiwa kuwa mchezaji bora wa mchezo huku Sanchez akitoa pasi mbili za magoli na kuhusika katika utengenezaji wa magoli mara 10 katika mchezo mmoja.
Magoli ya Inter Milan yalifungwa na Ashley Young dakika ya 48, Diego Godin dakika ya 51 na Lautaro Martinez dakika ya 68. Huku goli la Torino likifungwa na mshambuliaji wao Andrea Belotti.
Hakuna mchezaji aliyetengeneza nafasi nyingi zaidi katika mchezo mmoja kwenye mchezo wa ligi katika Ligi kuu ya tano bora za Ulaya msimu huu kuliko Alexis SΓ‘nchez dhidi ya Torino siku ya Jumatatu, El NiΓ±o Maravilla alitoa Assists Mbili.
Alexis Sanchez akiwa ametengeneza nafasi 10 kwenye mechi dhidi ya Torino – Ni wachezaji watatu tu ndio waliotengeneza nafasi nyingi zaidi kwenye mechi moja ya Serie A kuliko mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Chile tangu 2004/05 msimu ambao data za aina hii zilianza kukusanywa.
11 Alessandro Diamanti (Mei 2013)
11 David Marcelo Pizarro CortΓ©s (Novemba 2011)
11 Antonio Cassano (Oktoba 2008).
Kuna ofa kibao sana unazofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.
Magdalena
Sachez amekuwa fundi tangu akiwa arsenal na mpaka sasa ameendelea na ufundi wake inter Milan
Ester jackson
Habari nzuri sana mana sikutegemea kama atavunja rekodi mana alipotea sana
Sylvester
Umri ushaenda saiv anacheza kiuzoefu mkongwe huyu nae atundike tu madaluga kwa heshima
isha
Hongera sana kwako sanchez kwa kuvunja rekodi dhidi ya Torino
Angelina
Sanchez yuko vizuri sana anastahili pongezi
Elika
Hongera kwa sanchez
Zeiyana
Sanchez bado yupo vizuri na sijui kwanini arsenal walimruhusu haondoke
Dorophina
Umri umeshaenda lkn bado yupo vizuri kwenye mpira naamini ataendelea kufanya vizuri zaid
Tatu
Sanchez ni kiungo mzuri
Genia Sikaluzwe
Hongera Sana Sanchez kwa kucheza mpira vizuri
Aziza mushi
Habari njema hizi hongera Sana Sanchez.
felister
hongera sana Sanchez
devotha
pongezi kwake Sanchez anajua kucheza mpira
Latifa juma mohamed
Safi san Sanchez kiungo mzuri
Evaluziga
Hongera kwa Sanchez
Antony Luseno
Klabu pekee ambayo hajaitendea kazi vyema ni united
David Pere
Uzuri ni kwamba Sanchez yupo kwenye ligi ambayo ni saizi yake Ndio maana ameweka Record zake
Fatuma kasomo
Kiungo mzuri bado
Fatina mfingi
Asanteh kwa taarifa
farida ahmadi
Hongera Sanchez
Sadick
Mashabiki wa Man U wangetamani afanye haya alipokuwa na timu yao. Bila shaka Conte atamuchukua moja kwa moja#meridianbettz
Zuhura omary kindamba
Sanchez anajua kujituma kwaiyo anastahili pongezi
Salma
Hongera kwake
Samiah
Hongera Sanchez
Khadija
Hongera sanchez#meridianbettz
Franky
Tuki mzungumzia Alexis Sanchez ni bonge la kiungo so ana stahir kumfunika
Flomena
Hakuna mchezaji aliyetengeneza nafasi nyingi zaidi katika mchezo mmoja kwenye mchezo wa ligi katika Ligi kuu ya tano bora za Ulaya msimu huu kuliko Alexis SΓ‘nchez dhidi ya Torino siku ya Jumatatu, El NiΓ±o Maravilla alitoa Assists Mbili.
Mwanahamisi
Hongera sana kwa sanchez
sabrina
Sunchez anajua mpira nashangaa man u walukua wanamuweka bench tuu sijui walikua wanakwama wapi?
Gabriel
Habar njema sana π
Theonestina
Hongera sunchez
Issa
Sanchez amekuwa imara toka ajiunge na intet
Povel tz
Sanchez mwamba
Isaya massawe
Sanchez alifanya kazi nzuri sana
Amiri Kayera
Sanchez mchezaji mzur san
Saupha mohamed
Hongera yake
Shafii
Sanchez serie a imemkubali Sana amekua na kiwango bora tokea atimkie huko kwa mkopo.
tumaini
Maoni:Hongera kwake yuko vizuri
Frank Patrick
Binafsi napenda sana uchezaji wa huyu jamaa ni mpambanaji sana uwanjani
caroline
Sanchez ndo habari ya mjini kwa sasa
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana Sanchez yupo vizuri kijana huyo anajua
Ernest
Nafurahi kuona Sanchez amekuwa na msimu mzuri ndani ya Inter
Furahav
Sanchezi namkubali sana.
Njiku
Safii sana sanchezi yupo sawa tangia hatua klabu hiyo ya inter na kwajinsi anavyoonyesha kiwango kikubwa nahisi inter watamnunua kiungo huyo wa man u anaekipiga inter kwa mkopo licha ya kiwango pia man u imemuweka sokoni kiungo huyo naamin inter watamchukua mchezaji huyo
Samira
Sanchez ni mchezaji mzuri sana hajawahi kuchuja
Omary lukumbi
Alex sanchez bado yupo kwenye form
Edgar
Safi sana
Theckla
Sanchez ni mchezaji mzuri sana ila umri umemtupa akili inataka mwili hautaki
mwakalosi
huko ndiko kunamfaa sio United
Rehema
Namkubali sn
Latifa juma mohamed
Big up to him
warda
Sanchez mnyama#