Sancho Alimwa Faini kisa Picha

Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Jadon Sancho amesema ilikuwa kama utani kulimwa fani na German football league baada ya kupigwa picha akinyoa nywele nyumbani bila kuvaa maski.

Sancho na mchezaji mwenzake Manuel Akanji walimwa faini kwa kuvunja sheria.

Ligi imesema “wamevunja sheria ya usafi na kuzuia maambukizi”.

Sancho, 20, alikosoa uamuzi huo kwneye posti yake ya Twitter lakini baadae alifuta posti hiyo.

Dortmund iliwakingia kifua wachezaji wake kwa kusema hawajavunja sheria za afya na usalama.

Alhamisi, Mkurugenzi wa Michezo wa Dortmund, Michael Zorc alisema kundi la wachezaji sita amehakikisha walifuata hatua za usalama na maski zilivuliwa tu kwaanjili ya kupiga picha.

Lakini (DFL) iliamua kuchukua hatua dhidi ya Sancho na Akanji baada ya kupiga picha bila maski.

Makala iliyopita

46 Komentara

    Jamaa wako makini sana #Meridianbettz

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa
    Ila Hawa jamaa wako vizuri

    Jibu

    Sancho pole sana kaka angu yataisha tuu hayo

    Jibu

    Du hili balaa na nusu ikija Tanzania hii naona tutalipa fain mpaka tukome maana mtu anatakiwa ailinde afya yake na awalinde wengine lakini kuvaa barakoa mpaka aambiwe tena kwa kulazimishwa sana

    Jibu

    Kweli sheria ifuate mkondo wake ila kwa upande mwengine waangalie na kosa lenyewe lilitendeka akiwa wapi mfano kwa Sancho alikuwepo nyumbani amepewa adhabu ya kulipa faini au kwa sababu ni mtu maarufu

    Jibu

    Yatakwisha tuu haya yoooote

    Jibu

    ameyataka mwenyew kwani kulikuwa kuna ulazima gani apost post akiwa ananyoa

    Jibu

    Wapo sahihi lazima wachukue tahadhari kwa sheria ili waweze kuepukana na hili janga la corona

    Jibu

    Duu hili jangaa balaaa mwendo wa mask

    Jibu

    Duuh ni balaa

    Jibu

    Duuh Pole sana sancho kwani siku nyengine usirudie#meridianbettz

    Jibu

    pole sana Sancho

    Jibu

    Wapo sahihi wanatakiwa wamchukue tahazari juu ya hili gonwa la corona Lina tisha

    Jibu

    Jamani kama wako kifungoni wachezaji ,sio kwa kufwatiliwa uko ,ila wanatakiwa wawe makini sana.

    Jibu

    Wamekosea sanaa kumpiga gauni kwa maana alikuwa sahihi kufanya vile

    Jibu

    Noma sana

    Jibu

    Sheria ifatwe

    Jibu

    Duh Sheria imefuta mkondo wake

    Jibu

    Sheria msumeno inakata kote kote. Wakati huu wa LOCKDOWN wengi wengi maarufu wameadhibiwa kwa kutofuata utaratibu uliowekwa kuzuia maambukizi#meridianbettz

    Jibu

    hizi issue ziko seriously sana

    Jibu

    Wenzetu sheria haina msamaha

    Jibu

    Ni habari njema Kama kumwona
    Arsene anarudi

    Jibu

    Axante kwa taarifa nzur

    Jibu

    Fundi wa mpira..mkali wa assist

    Jibu

    Daaaah noma sana hiyo

    Jibu

    Kwel wapo serious hao jamaa

    Jibu

    Asantee kwa taarifa meridian

    Jibu

    Duuuh noma

    Jibu

    Dah sheria imefuata mkondo wake kwl

    Jibu

    Jamaaa mtukutu sana

    Jibu

    Wagerumany kweli Wana roho mbaya Sana yaani baada ya kumuunga mkono Sancho wao Wana mlima faini kwa kuonyesha msimamo Wake

    Jibu

    Ameyataka mwenyewe

    Jibu

    Ahsante meridian kwa taarifa

    Jibu

    Duuuh! Mbona Sheria kal sana

    Jibu

    Kweli wenzetu wapo makini kinyama,uku kwetu ni mmmmh 🤔🤔

    Jibu

    Sasa jamani hata akiwa nyumbani anavaa tu barakoa? ananyoa barakoa ya nini, wamemuonea bhana, waangalie na mazingira japo ni muhimu.

    Jibu

    duuh iyo sheria nmeipenda iletwe na uku bongo

    Jibu

    Nijambo jema kufatilia wachezaji wasije pata maambukizi big up Sana kwa shilikisho la ujeruman

    Jibu

    Wachezaji wana ali ngumu sana hadi wakizoea itachukua mda

    Jibu

    Izo sheria ni Kali jmn dah.

    Jibu

    Bora alimwe faini kazidi sifa

    Jibu

    Ebwana noma sana Corona imekuwa tishio na imeongeza Sheria kweny soccer

    Jibu

    Wenzetu Sheria Aina msamaha

    Jibu

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    Wako makini sana hawataki masihara

    Jibu

    Sheria zizingatiwe kwa wanamichezo

    Jibu

Acha ujumbe