Sancho Bado Yupo Sokoni

Makala iliyopita
Liverpool Mipango yao kwa ZubimendiMakala ijayo
Brighton Kumuachia Undav
Suala ambalo lipo wazi ni kua Manchester United wapo tayari kumuuza winga huyo wa zamani wa Borussia Dortmund lakini endapo tu watapata ofa nzuri, Mpaka sasa hakuna klabu ambayo imetuma ofa rasmi kumuhitaji winga huyo ambaye hajakua na wakati mzuri tangu ajiunge na timu hiyo.
Kusalia kwa winga Jadon Sancho ndani ya Manchester United kutategemea na ofa ambazo zitakuja ndani ya timu hiyo zikiwa hazikidhi vya timu hiyo, Lakini pia maamuzi ya kocha Ten Hag na uongozi wa timu hiyo kama utaamua kumbakiza winga huyo ndani ya timu hiyo kuelekea msimu ujao.