Sergio Aguero yuko tayari kurejea kuanza kwenye kikosi cha kwanza cha Manchester City kwa mara ya kwanza tangia Mechi ya Kombe la FA dhidi ya Birmingham.
Nyota huyu mwenye rekodi nzuri ya ufungaji rekodi nzuri ya magoli pale Manchester City, amecheza jumla ya mechi tisa tu msimu huu kwa sababu ya changamoto za kiafanya.
Staa huyu mwenye miaka 32 aliikosa sehemu ya mwisho ya msimu uliopita kwa sababu ya jeraha la goti kisha akafanyiwa upasuaji, na tatizo hilo pia limekuwa sababu ya yeye kukosa sehemu kubwa ya msimu huu mpya kwa hatua hii ambayo imefikia.
Meneja Pep Guardiola pia amekuwa akisuasua sana kufanya maamuzi ya kumuanzisha staa huyu kwenye mechi, akihofia karata anayoeweza kuicheza inaweza kuwa na matokeo gani. Hata hivyo, kwa sasa anaamini staa huyu anaweza kuwa tayari kurejea dimbani.
Katika taarifa ya Guardiola, Aguero amekuwa na maendeleo mazuri na kwa siku 10 zilizopita ameonekana kuboreka zaidi mazoezini.
“Ataanza na kwa dakika ambazo hali yake na uwezo wake vitaruhusu. Kama anaweza kucheza dakika 90 itakuwa safi, au 60 au 30 itakuwa sawa. Kitu muhimu ni kuhakikisha anakuwa na mda wa kutosha kadri iwezekanavyo na kuona hali itakuwaje.” -Maneno ya Pep Guardiola wakati wanajiandaa kushuka dimbani dhidi ya Birmingham City Jumapili.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??
aisha
Imekaa powa sana
Sania
Mungu amtie nguvu aendelee kupachika magoli
Magdalena
Safi sana arguero
Adelta
Karibu Sana mambo yanazidi kunoga
Janeflora malisa
Safi
Dorophina
Habari njema hizi
Neema juma
Arejee tu itapendeza sana
Sarah
Safi
Ernest Kimeru
Namashaka na fitness ya Aguero kutokana na majeruhi yake ya mara kwa Mara
Rahmal
Vizuli sana arguero
Hopemwaikuka
Nmeipenda hii
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii
Issa
Kun iz back
Saupha mohamed
Safi
warda
Itakuwa poa sana