Kocha wa Inter Milan, Antonio Conte usiku wa kuamkia leo Uwanja wa RheinEnergieStadion aliambulia kadi ya njano wakati timu yake ya Inter Milan ikipoteza taji la Europa League mbele ya Sevilla kwa kukubali kichapo cha mabao 3-2.
Conte alionyeshwa kadi hiyo ya njano baada ya kuingia kwenye mzozo na nyota wa timu ya Sevilla, Ever Banega baada ya kujibizana kuhusu masuala ya nywele. Conte alisikika na mwamuzi wa kati akisema kuwa nitakuona baada ya mechi jambo lililopelekea aonyeshwe kadi ya njano huku neno la Banega aliyemtania kuhusu nywele zake hilo mwamuzi hakuskia.

Sevilla inamshukuru nyota wa Inter Milan, Romelu Lukaku kwa kujifunga goli lililowapa ushindi kwani ngoma ilikuwa 2-2 mpaka dakika ya 72 jambo lililoongeza ushindani kwa timu zote mbili.

Mabao ya Inter Milan yalifungwa na Lukaku mwenyewe dakika ya 5 kwa penalti na Diego Godin dakika ya 35 huku yale ya Sevilla yakifungwa na Luuk de Jung dakika ya 12 na 33 na lile la ushindi la kujifunga Lukaku ilikuwa dakika ya 74.
Kupoteza kwa Inter Milan pia kunaiweka kwenye hatihati nafasi ya Conte ndani ya kikosi chake cha Milan kwa kuwa inaelezwa kuwa aliambiwa akishindwa kumaliza msimu na taji lolote safari ya kuondoka inamhusu.

Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


Nasra
Hongera sana Sevilla
aisha
Wako vizuri mnooo
magdalena
sevilla mpira mmeucheza vizuri sana mnastahili pongezi nyingi sana
Ernest
Sevilla wanadhihirisha kuwa kombe la EUROPA ni la kwao kivyovyote vile
Adelta
Good news
@meridianbettz
Khadija
pongezi kwa sevilla#meridianbettz
Caroline
Sevilla mpo vizuri
Mwanahamisi
Gud news
Zeiyana
Pole sana mashabiki wa inter makosa yapo na yanatokea .!kwa mchezo mliotuonesha jana mlipambana sana ila ndio ivyo tena bahati haikua kwenu daaah..!
Dorophina
Hongera yao Sevilla walicheza gemu vizuri na wakawakilisha vyema chama lao
Sauda
Sevilla jeshi
Sadick
Kombe hili kwa Sevilla ni uji kwa mgonjwa. Hongera Sevilla#meridianbettz
Fatina mfingi
Mambo mazur Sevilla!!
felister
duh pole yake conte muda wowote anajiandaa kufungasha vilago vyake
Shan
Hongera kwa sevilla
Amiri Kayera
Ongera yao
Mwajumah
Pongezi kwa sevilla#Meridianbettz
Tatu
Sevilla imepata ushindi wa mezani
Neema
Sevilla wametisha
Sylvester
Sevilla wanastahili kua mabingwa na hili ni kombe lao kwa miaka mingi na ameshalitwaa mara sita,hongera kwao
Lydia Emmanuel Magoti
Mambo mazuri kwao Sevilla
Johnmary joel
Hongera kwao sevillla#meridianbett
Rehema
Safi Sana Sevilla
Issa
Pole konte hao ndio sevilla makombe yote
Uwaoni ila ueropa league utawajua tu vilivyo
JULIANA
Sevilla juuu
Saupha mohamed
Hongera sevilla
Gabriel
Kiukwel mech ilikuwa ya ushindan mkubwa sana maana kwa kiwango cha inter walivyojipanga asilimia kubwa ya mashabiki hawakuamin matoke na ukiangalia mech ilikuwa ya ushindan mkubwa sana ila ndo hivyo sevila alitumia nafas ambayo inter walijisahau
Janeflora malisa
Nice
Hope mwaikuka
Waooo
Povel
Congrat Sevilla fc
Devotha
Sevilla wameonyesha kiwango Bora sana wanahaki ya kushinda
Shafii
Pongezi za dhati ziende kwa sevilla kwa ubingwa.
Rose kapinga
Sevilla mmetingisha nyavu vya kutosha,pongezi kwenu!!!!
David Pere
Sevilla wanastahili kua mabingwa na hili ni kombe lao kwa miaka mingi na ameshalitwaa mara sita,hongera kwao
Ester jackson
Pongezi Seville
farida ahmadi
Hongera Sana Sevilla
Samiah
Pongezi kwa Sevilla
Furahav
Sevila noma.
Sabrina
Duuh hongera sana sevila
Latifa juma mohamed
Sevilla wanatisha.
warda
Nilifurahi sana Sevilla kushinda