Sheffield Wavunja Rekodi Mpya EPL kwa Kichapo

Sheffield United wamevunja rekodi mpya ya EPL baada ya kuwa klabu ya kwanza kucheza mechi 17 bila kupata ushindi.

Sheffield walianza kwa kuwafikia rekodi ya Queens Park Rangers ya mechi 16 bila ushindi kwenye mechi dhidi ya Barley ambayo walichapwa bao 1-0.

Sasa timu hii imepata rekodi mbaya zaidi baada ya kukamilisha mechi 17 bila kuchukua pointi 3 kwenye Ligi Kuu ya Uingereza tangia Bolton Wanderers kuwa na rekodi ya mechi 22 bila ushindi msimu wa 1902-1903

Sheffield Wavunja Rekodi Mpya EPL kwa Kichapo

Rekodi hii sio rekodi ya kujivunia kwa Sheffield ambao mpaka sasa wamefanikiwa kupata pointi 2 tu tangia msimu unaanza wakiwa nafasi ya mwisho ya msimamo wa ligi kwa sasa.

Vijana hawa wa Chris Wildermpaka sasa pia hawajapata hati safi katika mechi hata moja, wakiwa wanaikaribia idadi ya mechi 20 bila hati safi ya msimu uliopita.

__________________________________________________________________

VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?

SOMA ZAIDI

18 Komentara

    Duuu sio poa

    Jibu

    Pole yao wameanza vibaya

    Jibu

    Dah hiki ni kipindi kigumu kwao

    Jibu

    Habar mbaaya kwa mashabiki wa sheffield

    Jibu

    Duu wapo katika wakati ngumu mno

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Duuh hatari sana

    Jibu

    Poleni sana.mmeanza vibaya sana

    Jibu

    pole yao

    Jibu

    Nomaa

    Jibu

    Dhuu hili ni tatizo kubwa tu

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Dhuui

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Dah

    Jibu

    Wanayumba sana

    Jibu

    Jamani hadi huruma

    Jibu

    Shefiled moto

    Jibu

Acha ujumbe