Club ya Simba SC imethibitisha kuwa imemsajili mchezaji Perfect Chikwende kutokea FC Platinum ya Zimbabwe.
Chikwende aliingia katika rada za Simba SC baada ya kuwafunga katika mchezo wa roundi ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika jijini Harare Zimbabwe.
Taarifa hizo sasa ni rasmi baada ya awali kuwa kama tetesi, Simba hawajataja wazi mkataba wa miaka mingapi wamempa Chikwende lakini inasemekana ni mkataba wa miaka miwili.
Mabingwa hao wa Tanzania Premier League wamezidi kujiimarisha kuelekea katika michezo ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Africa inayotarajiwa kuanza mapema mwezi February.
MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5
Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!
Sania
Chikwende karibu sana simba
Shakila mrope
Karibu san chikwende
Dorophina
Kila lakheri chikwende
Hopemwaikuka
Kaz kaz
Rahmal
Kalibu sana chikwende
Magdalena
Simba wanazidi kupamba kwa Kasi ya ajabu
Sarah
Karibu sana chikwende
Caroline
Jambo zuri
Mwanahamisi
Kila la kheri
lombo
saf
Adelta
Vizuri
Sadick
Chikwende is RED. Karibu msimbazi
Ernest Kimeru
Ngoja tuone
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana chikwende yupo vizuri
Issa
Mikia wanatapatapa
felister
kazi kazi
warda
Yangu macho tu sijui watamtoa nani katika hiyo nafasi