Msafara wa Simba SC usiopungua watu 40, utaondoka nchini usiku wa leo kwenda Afrika Kusini kuwakabili Kaizer Chiefs kwenye Robo Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa Jumamosi hii saa 1 usiku.
Simba katika kuhakikisha wanafanya vizuri kwenye mchezo huo wa ugenini tayari wamewatanguliza kundi lao la kwanza juzi Jumamosi mara baada ya mchezo wa Yanga kuhahirishwa ili kuweka mazingira vizuri.
Kutokana na Simba kuondoka nchini leo maana yake mchezo wa VPL dhidi ya Coastal Union uliopangwa kupigwa Jumanne saa 1 usiku hautokuwepo.
Mchezo wa pili wa robo fainali hiyo unatarajiwa kupigwa wiki moja baadae katika dimba la Benjamin Mkapa, Jijini Dar es Saalam.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
Kila la kheri simba
Waende tu
Hawana jipya hao
Kila la kheri chama langu
Kila la kheri
Hawana jipya waende tu
Kila kheri simba
Kila la kheri huko mnakoenda
Kila raheri simba ushindi lazima
Vizuri kila la kheri
Mabingwa wa nchi
Kila la kheri kwao
Mabingwa wa mechi