Mlinzi wa AC Milan Simon Kjaer amepata jearaha linalohofiwa kuwa kubwa. Jeraha lake linatajwa kuwa kiwango cha daraja la kwanza sehemu ya paja la kulia na huku akitazamia kufanyiwa vipimo zaidi.
Mlinzi huyu wa Rossoneri aliumia misuli katika kipindi cha kwanza cha ushindi wa Milan wa 4-2 dhidi ya Celtic kwenye Ligi ya Europa. Uchunguzi zaidi unahitajika ili kubaini kiwango cha jeraha na athari yake.

Nafasi ya Simon Kjaer ilichukuliwa na Alessio Romagnoli na klabu ilithibitisha Kjaer amepata jeraha la misuli ya daraja la kwanza kwenye paja la kulia.
Kocha Stefano Pioli anatarajia kumweka benchi beki huyo. Nyota huyu mwenye ushawishi anatarajiwa huenda akarejea baada ya muda mfupi, huku mlinzi huyo akiwekwa kwenye vipimo vya matazamio ya siku saba, kutathmini mabadiliko ya hali yake.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!




aisha
Pole sana simon utakaa sawa tuu
Adelta
Pole yake
Hopemwaikuka
Get well soon champ
Rahma
Pole
Mwanahamisi
Pole yake
Khadija
pole sana
Lydia Emmanuel Magoti
Duu sio poa
Magdalena
Majeraha yanazidi kuwa changamoto kwa wachezaji
Issa
Pigo kwa milan
Dorophina
Pole yake simon
Saupha mohamed
Pole yake
felister
pole yk
Tatu
Pole yake
Sabrina
Pole sana
Sauda
Pole kijana
warda
Duu jeraha litakuwa kubwa sana mpaka lina kiwango cha daraja la kwanza