Msimu mpya wa soka kunako Ligue 1 – Ufaransa kurejea. PSG watakuwa katika harakati mpya za kuutafuta ubingwa wa 8 katika miaka 9.
Wakati Thomas Tuchel akiandaa kikosi chake kuvaa na miamba wa Ujerumani – Bayern Munich katika Ligi ya Mabingwa, msimu mpya 2020/21 unaelekea kuanza rasmi. Kiuhalisia PSG wanaonekana kuwa na nafasi nzuri ya kuendelea kuwa mabingwa wa ligi hiyo huku timu zingine zikiendelea kusubiri.
Lorient na Lens wamepanda daraja na watakuwepo kwenye Ligue 1 msimu ujao. Bordeaux na Nantes watafungua pazia la Ligue 1 siku ya Ijumaa. Mchezo wa mwisho wa mwaka 2019/20 ulipaswa kuwa kati ya Lille na Lyon, mchezo ambao haukuchezwa baada ya ligi hiyo kukatishwa kutokana na mlipuko wa COVID19.
Kwanini PSG wanapewa nafasi ya kuwaongoza wengine kwenye soka la Ufaransa msimu wa 2020/21?
Uwekezaji mkubwa na nguvu ya kiuchumi ya wamiliki wa PSG kutoka Qatari, unaifanya timu hiyo kukamilika kila idara.
Kylian Mbappe aliongoza kwa magoli msimu uliopita akiwa na magoli 18 sawa na Ben Yedder wa Monaco wakati Di Maria aking’ara kama mfalme wa pasi za magoli (14). Neymar alimaliza msimu akiwa anaongoza kwa kukokota mpira (90). Pamoja na hayo, PSG walizingatia suala la ubora wa kikosi na wameruhusu Edson Cavani kuondoka klabuni hapo japokuwa alikuwa ndio mfungaji bora wa muda wote.
Timu gani itakuwa mpinzani mkuu wa PSG?
Lyon watakuwa na jambo la kuuthibitishia ulimwengu. Baada ya kupambana na Ligi ya Mabingwa na kuonesha uwezo wao, ni dhahiri vijana hawa wanakila sababu ya kuonesha upinzani thabiti dhidi ya PSG katika League 1.
Marseille, Lille na Monaco pia zina nafasi ya kuonesha uwezo wao wa soka kunako League 1 na kuufanya msimu wa 2020/21 kuwa wa kuvutia zaidi wakati ambapo PSG atakuwa na kibarua cha kutetea taji lake.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


Issa
Dah tuliumiss uhondo huo
Sadick
Natarajia Lyon itaonyesha upinzani mkubwa kwa PSG msimu huu unaoanza kutimua vumbi hivi karibuni,jambo la kusikitisha hakutakuwa na mashabiki kutokana na Corona#meridianbettz
Furahav
Tunasubili kwa amu.
Sabrina
Ligi zinaendelea mashabiki tunafurahia kusikia hivyo japokua tutazitazama kwenye runinga
Devotha
Burudani inaendelea Ila hakuna wa kumpindua PSG
Hope mwaikuka
Aisee hii utakua mtanange wa kufa mtu
Ernest
Mwaka huu hatukai kinyonge tunaomba tuu Corona isiongeze kasi tuendelee kupata burudani
Shafii
Kwa upande wa ufaransa maarufu Kama ligi 1 PSG Hana mpinzani kule ataendelea kua mbabe siku zote hii inatokana kuwa na kikosi kipana kila msimu.
Gabriel
Katika uhondo wa soka la liga wako vzur sana kuwai michuano pamoja na bundasliga hizo ndo ligi ambazo ziko haraka sana kuanda nibhabar njema sana kuona inaanza
Latifa juma mohamed
Tuliimic kinoma.
Rehema
Ngoja tuone
Omary lukumbi
Mchaka mchaka umeanza
Dorophina
PSG kwa msimu ujao bado hana mpinzani lazima ataendelea kuwakilisha vema msimu ujao
Mwajumah
Mh mtanange utakua wa kufa mtu
Sauda
Tunasubiri kwa hamu
magdalena
PSG wakikazana vizuri wanaweza nyakua tena ubingwa
Nasra
Tunasubir kwa hamu
Adelta
Tunasubiri kwa hamu tuone
@meridianbettz
Khadija
Mashabiki tunasubili kwa hamu tuone mambo mazuri#meridianbettz
Zeiyana
Subiri tuone ndoto za mbappe zitatimia..!tumeona alakati zake zote mbappe kuipelekea clabu yake kuchukua ubingwa
Shan
Habr njema kwa washabiki!
Caroline
Ligue one tuliisubiri kwa hamu
Mwanahamisi
Ngoja tuone
Tatu
Tulikuwa tunasubili kwa hamu
aisha
Tulimiss sana kuona mambo hayo
Amiri Kayera
Nic tuliimic
felister
tuombe uzima
Johnmary joel
Habari nzuri#meridianbett
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri tulimic sana
jullie
tunasubiri kwa hamu sana
Neema
Haya ndio mambo mazuri tuliyoyamic
Saupha mohamed
Habari njema
Janeflora malisa
Good
Povel
Gud news
David Pere
Mwaka huu hatukai kinyonge tunaomba tuu Corona isiongeze kasi tuendelee kupata burudani
Rose kapinga
League one njoo unipe pesa!!!
Ester jackson
Tunasubiri matokeo
farida ahmadi
Habari njema Sana
Samiah
Nihabari njema sanaaa
warda
Habari nzuri sana#Meridianbettz