Ole Gunnar Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa nyota wake Bruno Fernandes ni kama Cristiano Ronaldo.
Hivi karibuni baada ya nyota huyo kufanya vizuri ndani ya United amekuwa akifananishwa na Ronaldo ambaye aliwahi kuitumikia timu hiyo na wote ni raia wa Ureno.

Fernandes amefunga jumla ya mabao 21 katika mechi 35 ndani ya United tangu atue hapo Januari mwaka huu akitokea Sporting Lisbon na ana jumla ya asisti 15.

Solskjaer amesema:”Fernandes ni kama Ronaldo yeye amekuwa msaada mkubwa kwa wachezaji kuwahamasiha wapambane zaidi wakiwa ndani ya uwanja hilo ni jambo nzuri.”
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!




Adelta
Fernandes ni mchezaji makini na anashirikiana na wenzake vizuri
Fatuma kasomo
Gud news
Rahma
Nice
Issa
Bruno ameleta hali mpya ndan ya united
Dorophina
Fernandes yupo vizuri na anamsaada mkubwa na klabu yake
Hopemwaikuka
Kaz yake inaonekana sana
Lydia Emmanuel Magoti
Fernandes anajua jamaha huyo
Sabrina
Fernandes hana kazi mbovu pale man u
Magdalena
Fernandes aongeze juhudi zaidi asijisahau
Shakila mrope
Goodnight
Khadija
Nice
Mwanahamisi
Gud news
Tatu
Habari nzuri
warda
Mchezaji akiwa anahamasisha kwa kweli ni jambo zuri
aisha
Mchango wake ni mkubwa sana