Solskjaer: Fernandes ni kama Ronaldo tu

Ole Gunnar Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa nyota wake Bruno Fernandes ni kama Cristiano Ronaldo.

Hivi karibuni baada ya nyota huyo kufanya vizuri ndani ya United amekuwa akifananishwa na Ronaldo ambaye aliwahi kuitumikia timu hiyo na wote ni raia wa Ureno.

Fernandes amefunga jumla ya mabao 21 katika mechi 35 ndani ya United tangu atue hapo Januari mwaka huu akitokea Sporting Lisbon na ana jumla ya asisti 15.

Solskjaer amesema:”Fernandes ni kama Ronaldo yeye amekuwa msaada mkubwa kwa wachezaji kuwahamasiha wapambane zaidi wakiwa ndani ya uwanja hilo ni jambo nzuri.”


FURAHIA MUZIKI MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

INGIA MCHEZONI

15 Komentara

    Fernandes ni mchezaji makini na anashirikiana na wenzake vizuri

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Bruno ameleta hali mpya ndan ya united

    Jibu

    Fernandes yupo vizuri na anamsaada mkubwa na klabu yake

    Jibu

    Kaz yake inaonekana sana

    Jibu

    Fernandes anajua jamaha huyo

    Jibu

    Fernandes hana kazi mbovu pale man u

    Jibu

    Fernandes aongeze juhudi zaidi asijisahau

    Jibu

    Goodnight

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Mchezaji akiwa anahamasisha kwa kweli ni jambo zuri

    Jibu

    Mchango wake ni mkubwa sana

    Jibu

Acha ujumbe