Suarez Awaweka Matatizoni Walimu Perugia.


Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Luis Suarez amewaingiza matatani wafanyakazi wa chuo kikuu cha Perugia nchini Italia.

Suarez amesababisha walimu 4 wa Chuo Kikuu cha Perugia nchini Italia mpaka wakasimamishwa kazi kwa miezi 8 kupisha uchunguzi kuhusu uongo waliomtengenezea Suarez.

 

Suarez Awaweka Matatizoni Walimu Perugia.

Walimu hao walifanya udanganyifu ili mchezaji huyo aonekane amefaulu mtihani wa lugha ya kiitaliano na kupata B1 wakati hajui na hajajifunza.

Hayo yalitokea katika kipindi cha majira ya dirisha la uhamisho majira ya kiangazi alipotaka kuhamia klabu ya Juventus ya Italia, baada ya mambo kuwa magumu pale Barcelona.

Baada ya hapo ndipo akalazimika kuomba uraia wa Italia na kutakiwa kufanya mtihani lakini inaonekana kama alidangaya kwani hajui kuzungumza Kiitaliano hata kidogo.


FURAHIA MUZIKI MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

INGIA MCHEZONI

23 Komentara

    Ujanja mwingi matokeo yake ni hayo

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Walimwengu walishasema pesa ndio kila kitu. Dalili zinaonyesha walipenyezewa mpunga wa maana wakawa vipofu ghafla na kuandika alama zisizokuwepo.

    Jibu

    Duu majanga haya sasa

    Jibu

    Suarez anazingua

    Jibu

    Alichofanya suarez sio kitu kizuri

    Jibu

    Suarez ni shida sana

    Jibu

    duh

    Jibu

    Kijana hayuko makiniii

    Jibu

    Kama wamemtengenezea uongo wawajibishwe

    Jibu

    Dhuu Ayo majanga tena

    Jibu

    Majanga haya.

    Jibu

    Dhuuu

    Jibu

    anazinguanguq

    Jibu

    Duuh

    Jibu

    Majanga

    Jibu

    Majanga hayo

    Jibu

    Duuh hatari sana

    Jibu

    Dah

    Jibu

    Jamaa nae yuko moto vibaya mnooo

    Jibu

    Uongo sio mzuri unaona sasa hawana kazi

    Jibu

Acha ujumbe