Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Luis Suarez amewaingiza matatani wafanyakazi wa chuo kikuu cha Perugia nchini Italia.
Suarez amesababisha walimu 4 wa Chuo Kikuu cha Perugia nchini Italia mpaka wakasimamishwa kazi kwa miezi 8 kupisha uchunguzi kuhusu uongo waliomtengenezea Suarez.

Walimu hao walifanya udanganyifu ili mchezaji huyo aonekane amefaulu mtihani wa lugha ya kiitaliano na kupata B1 wakati hajui na hajajifunza.
Hayo yalitokea katika kipindi cha majira ya dirisha la uhamisho majira ya kiangazi alipotaka kuhamia klabu ya Juventus ya Italia, baada ya mambo kuwa magumu pale Barcelona.
Baada ya hapo ndipo akalazimika kuomba uraia wa Italia na kutakiwa kufanya mtihani lakini inaonekana kama alidangaya kwani hajui kuzungumza Kiitaliano hata kidogo.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!




Shakila mrope
Ujanja mwingi matokeo yake ni hayo
Khadija
Asante kwa taarifa
Sadick
Walimwengu walishasema pesa ndio kila kitu. Dalili zinaonyesha walipenyezewa mpunga wa maana wakawa vipofu ghafla na kuandika alama zisizokuwepo.
Lydia Emmanuel Magoti
Duu majanga haya sasa
Caroline
Suarez anazingua
Sarah
Alichofanya suarez sio kitu kizuri
Issa
Suarez ni shida sana
lombo
duh
Neema
Kijana hayuko makiniii
Magdalena
Kama wamemtengenezea uongo wawajibishwe
Dorophina
Dhuu Ayo majanga tena
Latifa juma mohamed
Majanga haya.
Saupha mohamed
Dhuuu
felister
anazinguanguq
samiah
Duuh
Sauda
Majanga
Tatu
Majanga hayo
Sabrina
Duuh hatari sana
Janeflora malisa
Dah
[email protected]
Duuh
aisha
Jamaa nae yuko moto vibaya mnooo
warda
Uongo sio mzuri unaona sasa hawana kazi
Fatina mfingi
Majanga kwakel